Monday, June 11, 2012

CCM ILIVYOFUNIKA JANGWANI Saturday, June 9, 2012

 Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe akihutubia
Vijana wakishangilia kwenye mkutano wa CCM uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam.
  Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli akihutubia
Vijana wakichangamka kurudisha kadi za Chadema mbele ya Nape na Kinana ambazo chama cha chadema kilidai kuwa zilikuwa za fake wakihoji iweje zote ni mpya na zingine hazina hata majina.
Mamia ya kadi za vyama vya upinzani zilizorudishwa
 
Nape akichaza gita na bendi ya Vijana Jazz, Baadhi ya mabango

No comments: