Thursday, July 5, 2012

GOOD NEWS KWA TOTTENHAM, CHELSEA HII INAWAHUSU PIA.

Andre Villas Boas aliyekua kocha wa Chelsea kabla ya kutimuliwa muda mfupi baadae baada ya timu kuvurunda ndio ametangazwa kuwa kocha mpya wa club ya Tottenham sasa hivi.

Villa Boas (34) aliwasili London jumatatu wiki hiikufanya mazungumzo na Tottenham ambapo baada ya kukubaliana, mzigo ukatangazwa.

Kocha huyu mdogo kiumri ameanza kufundisha club kama kocha akiwa na umri wa miaka 21 tu na sasa amechukua mkataba wa miaka mitatu kwenye club yake ya tano kuifundisha.

No comments: