Tuesday, June 26, 2012
Monday, June 25, 2012
BAJETI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisoma Hotuba ya Bajeti ya Ofisi yake , Bungeni Mjini, Dodoma Juni 25, 2012
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na Mbunge wa Lindi Mjini , Salum Baluany kwnye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 25,2012. Kulia ni Mtoto wa Waziri Mkuu, George Bush.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia (kulia) na Katibu Mkuu katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Peniel Lymo kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 25, 2012.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na Mbunge wa Lindi Mjini , Salum Baluany kwnye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 25,2012. Kulia ni Mtoto wa Waziri Mkuu, George Bush.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia (kulia) na Katibu Mkuu katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Peniel Lymo kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 25, 2012.
MLIPUKO WA BOMU ULIOTOKEA MOMBASA KENYA.

Idadi ya waliopoteza maisha kutokana na bomu lililolipuka kwenye baa moja Mombasa Kenya imefikia watatu kwa mujibu wa shirika la msalaba mwekundu ambapo wawili walifariki dunia wakiwa hospitali.
Mlupuko huo umetokea Jericho Beer Garden umbali wa kilomita saba kutoka kwenye mji wa Mombasa siku moja tu baada ya ubalozi wa Marekani Kenya kuonya kutokea kwa mlipuko huo, Standard Media Kenya wameripoti kwamba wengi wa watu hao walikua wanatazama mechi ya England na Italy.
Msemaji wa polisi amesema mlipuko ulitokea kwenye mida ya saa nne usiku wa kuamkia leo ambapo wengi wa waliojeruhiwa walikua nje ya baa hiyo huku shuhuda wa tukio hilo akisema mmoja wa waliofariki alikua kwenye dancing floor.
Inaaminika shambulio hilo linaweza kuwa limefanywa na kikundi cha wanamgambo cha Al Shabaab cha Somalia toka Kenya ilipotangaza nacho vita october mwaka jana.
Tawi la Chadema Washington DC limepokea Mwanachama Mpya Ambae Pia Amezawadia Tawi Hilo Zawadi ya Gari ili Kufanikisha Shuhuli za Chama Hicho
Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Mhe. Kalley Pandukizi, pamoja na katibu wake Mhe. Libe Mwang'ombe wakimkabidhi rasmi Hussein Kauzel Msabaha kadi ya uwanachama.
Hussein Kauzel Msabaha akiwa na kadi ya Chadema
Wanachama wa tawi la chadema Washington DC wakipata picha ya pamoja
Hussein Kauzel Msabaha akimkabidhi funguo za gari Mwenyeketi wa Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Mhe. Kalley Pandukizi
Mwenyeketi wa Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Mhe. Kalley Pandukizi akionyesha funguo za gari ya aina ya Chevy Suburban walilokabidhiwa na Hussein Kauzel Msabaha
Gari ya aina ya Chevy Suburban walilozawadiwa Chadema na Hussein Kauzel Msabaha
Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC lapokea zawadi ya gari aina ya Chevy Suburban kutoka kwa Hussein Kauzel Msabaha, baada ya kukabidhiwa rasmi kadi ya uwanachama mpya wa chama hicho jijini Washington DC
kiongea katika hafla hiyo Mwenyekiti wa Chadema Washington DC Ndugu Kalley Pandukizi amemshukuru sana mwanachama wao huyo mpya na kusema gari hilo litawasidia katika kueneza Sera za Chama kwa Watanzania Wanaoishi Majimbo mengine ya Marekani.
Naye mwanachama huyo mpya amesema amejitolea gari lake hilo litumike kwa kazi za chama kwa Ridhaa yake si kwa kushawishiwa na mtu yeyote kutokana na kukubali Sera za Chadema. Mwenyekiti wa Chadema aliongeza kwa kusema anawaomba Watanzania wote wenye kutaka Mabadiliko waige mfano wa Ndugu Hussein Kauzela kwa kukisaidia Chama kwa hali na mali ili waweze kuzidi kukijenga Chama ambacho Wanachama wake ndio washika Dau wakuu kwenye kukijenga Chama.Picha na Habari na Mdau SwahiliVilla
Hussein Kauzel Msabaha akiwa na kadi ya Chadema
Wanachama wa tawi la chadema Washington DC wakipata picha ya pamoja
Hussein Kauzel Msabaha akimkabidhi funguo za gari Mwenyeketi wa Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Mhe. Kalley Pandukizi
Mwenyeketi wa Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Mhe. Kalley Pandukizi akionyesha funguo za gari ya aina ya Chevy Suburban walilokabidhiwa na Hussein Kauzel Msabaha
Gari ya aina ya Chevy Suburban walilozawadiwa Chadema na Hussein Kauzel Msabaha
Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC lapokea zawadi ya gari aina ya Chevy Suburban kutoka kwa Hussein Kauzel Msabaha, baada ya kukabidhiwa rasmi kadi ya uwanachama mpya wa chama hicho jijini Washington DC
kiongea katika hafla hiyo Mwenyekiti wa Chadema Washington DC Ndugu Kalley Pandukizi amemshukuru sana mwanachama wao huyo mpya na kusema gari hilo litawasidia katika kueneza Sera za Chama kwa Watanzania Wanaoishi Majimbo mengine ya Marekani.
Naye mwanachama huyo mpya amesema amejitolea gari lake hilo litumike kwa kazi za chama kwa Ridhaa yake si kwa kushawishiwa na mtu yeyote kutokana na kukubali Sera za Chadema. Mwenyekiti wa Chadema aliongeza kwa kusema anawaomba Watanzania wote wenye kutaka Mabadiliko waige mfano wa Ndugu Hussein Kauzela kwa kukisaidia Chama kwa hali na mali ili waweze kuzidi kukijenga Chama ambacho Wanachama wake ndio washika Dau wakuu kwenye kukijenga Chama.Picha na Habari na Mdau SwahiliVilla
Mbio za Mt. Kilimanjaro Zatimua Vumbi Mjini Moshi
Mcheza sinema maarufu kutoka Marekani Deidre Lorenz leo amezipamba mbio za Mt. Kilimanjaro Marathon zilizotimua vumbi kuanzia saa mbili za asubuhi kutoka klabu maarufu ya Moshi hadi Rau madukani. Lorenz alikuwa mmoja wa wakimbiaji zaidi ya 200 kutoka katika nchi za Marekani, Canada, Uingereza, India, Australia, Brazil na Tanzania.
Kushiriki kwa mcheza sinema huyo maarufu wa sinema za Santorini Blue (ambayo ilitegenezwa kwenye fukwe za mahaba za kisiwa cha Santorini nchini Ugiriki), Perfect Strangers, The Big Fight na nyingije nyingi imezifanya mbio za Mt. Kilimanjaro Marathon kuwa na hadhi ya kipekee katika mbio za marathon hapa Afrika.
Mbio hizi zilizoanzishwa na Marie Frances kutoka katika jiji la matajiri la Bethesda nje kidogo ya jiji la Maryland kule Marekani zimetimiza miaka 22 toka zianzishwe mwaka 1991. Mt. Kilimanjaro Marathon zilizishwa baada ya balozi wa zamani wa Tanzania nchini Misri kumwomba Marie Frances kuja Tanzania na kuanzisha mbio zenye hadhi ya kimataifa. Mt. Kilimanjaro Marahon zimeshawahi kushinda tuzo mbalimbaliza kimataifa zilizotolewa na Wonders of the World Magazine ambalo lina wasomaji zaidi ya miloioni 5 na kuzipa nafasi ya pili na wakati gazeti maarufu duniani la Forbes lilizipa nafasi ya kwanza kati ya mbio zinazojulikana kama Seven Continental Races.
Kutokana na kuutangaza mji wa Moshi kwa kiwango kikubwa kimataifa Manispaa ya Moshi ilimpa barabara inayojulikana kama Marie Frances Boulevard pamoja na funguo za Manispaa ya Moshi na Cheti ya ukazi wa kudumu.
Mkimbiaji kutoka jiji la Arusha Getuni Tsekewey aliibuka kidedea wa mbio za kilometa 42 kwa kukimbia kwa saa 2 na dakika 26 nukta 30 wakati Nicodemus Hiiti kutoka Kilimanjaro alikuwa wa 2 kwa kukimbia saa 2 na dakika 38 nukta 20 naye Shauri Habiye kutoka Arusha alikuwa wa tatu kwa kukimbia saa 2 na dakika 38 nukta 24.
Wengine ni Samwel Lucian kutoka Kilimanjaro aliyenyakua nafasi ya 4 kwa kukimbia kwa saa 2 dakika 38 nukta 47 wakati Petro Gimanya wa Kilimanjaro alitimka kwa saa 2 dakika 57 nukta 18 na kushika nafasi ya 5.
Katika mbio za Marathon upande wa wanawake Banuelia Brighton alitimua vumbi na kushika nafasi ya kwanza kwa saa 3 dakika 06 nukta 01 wakati Flora Yada alimfuatia kwa mbali kwa kukimbia kwa saa 3 dakika 38 nukta 08.
Kwa upande wa mbio za nusu marathon wanariadha kutoka Arusha walinyakua nafasi zote. Peter Sule alikimbia kwa saa 1 dakika 07 nukta 42 na kuwa wa kwanza, Mohamed Duley alishika namba mbili kwa kikimbia kwa saa 1 dakika 07 sekunde 98 wakati Said Hassan alitimka kwa saa 1 dakika 10 sekunde 25 na kuwa wa tatu.
Nusu marathon kwa wanawake kulikuwa na mkimbiaji mmoja tu ambapo Farida Guse wa Arusha alikimbia kwa saa 3 dakika 22 sekunde 22.
Mbio za kilometa 10 (10K) ziliwashirikisha wageni tu ambapo kwa upande wa wanaume Sander Markos kutoka Marekani alishika nafasi ya kwanza kwa kukimbia kwa saa 1 dakika 01 sekunde 20 na Malcom Frazer pia kutoka Marekani alikimbia kwa saa 1 dakika 20 sekunde 22 na kuwa wa pili.
Kwa upande wa wanawake mbio za kilometa 10 (10K) kwa wageni Cindy Johanson kutoka Kanada alikuwa wa kwanza kwa kukimbia kwa saa 1 dakika 12 sekunde 22, Marika Johson alishika nafasi ya pili kwa kukimbia kwa saa 1 dakika 20 sekunde 48, Talia Peter kutoka Marekani alikuwa wa tatu kwa kukimbia kwa saa 1 dakika 26 sekunde 04.
Naye mcheza sinema maarufu kutoka Marekani Deidre Lorenz alimaliza mbio za kilomita 42 na kufanya kuwa mbio za tatu za marathon alizowahi kukimbia baada ya zile za New York Marathon mwaka 2010 na 2011.
Lorenz aliondoka na ndege ya shirika la Ethiopia Airlines kurudi kwake "The Big Apple" kama linavyojulikana jiji la New York la Marekani ambapo hufanya shughuli zake za kucheza sinema.
Rais Jakaya Kikwete Alivyompokea Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Sahrawi, Mohamed Abdelaziz
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Sahrawi Mhe, Mohamed Abdelaziz katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jioni ya jana Jumapili Juni 24, 2012
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibadilishana Mawazo na Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Sahrawi Mhe, Mohamed Abdelaziz muda mfupi baada ya kumpokea katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jioni ya jana Jumapili Juni 25, 2012 ambapo gwaride la Kijeshi na ngoma za utamaduni zilimlaki kwa nderemo.Picha na IKULU
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibadilishana Mawazo na Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Sahrawi Mhe, Mohamed Abdelaziz muda mfupi baada ya kumpokea katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jioni ya jana Jumapili Juni 25, 2012 ambapo gwaride la Kijeshi na ngoma za utamaduni zilimlaki kwa nderemo.Picha na IKULU
OMOTOLA JALADE NDANI YA BONGO-TANZANIA
Mchezaji wa Filamu kutoka nchini Naigeria Omotola Jalade katikati akiwa katika picha ya pamoja na mwigizaji Wema Sepetu kushoto na Khadija Mwanamboka pamoja na watoto yatima wa kituo cha Tanzania Mitindo House cha jijini Dar es salaam Omotola amekuja nchini maalum kwa ajili ya uzinduzi wa filamu ya Wema Sepetu Super Star ambayo imezinduliwa jana kwenye hoteli ya Hyyat Kilimanjaro jijini Dar es salaam PICHA KWA HISANI YA 8020FASHION
Mohammed Mursi Aibuka Kidedea Uchaguzi Wa Misri
Mursi ameshinda kura kwa asili mia 51.7% akimshinda mpinzani wake wa karibu Ahmed Shafik kwa mujibu wa tangazo la tume ya uchaguzi wa juu wa Rais.
Mkuu wa jopo la Majaji, Farouq Sultan, amesema kua wamezingatia malalamiko 466 kutoka kwa wagombea, ingawa matokeo ya uchaguzi hayatobalika.
Tangazo hilo lilifuatiwa na shangwe na vigelegele katikakati ya medani ya Tahrir mjini Cairo ambako wafuasi wengi wa Bw.Mursi walikua wamekuanyika.
Wafuasi hao wamekaa kwenye medani hio kwa siku kadhaa wakionyesha msimamo wao wa kuchukia sheria kadhaa zilizotangazwa na Baraza la juu la utawala wa majeshi ambayo wanadai zimeundwa ili kupunguza mamlaka ya Rais na kuelekeza uwezo mkubwa kwa majeshi.
Wafuasi wa Bw.Shafiq nao waliweka kambi yao katika eneo la kaskazini mwa mji ambako kuna makao makuu ya Tume ya uchaguzi huko Nasser City.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi Jaji Sultan alianza kwa kunena kua tangazo la matokeo ya uchaguzi yalikua yamezongwa na shinikizo pamoja na hali ya wasiwasi.
Tume ya uchaguzi ilizingatia sheria ilipochunguza visanduku vya kupigia kura, na Jaji.Sultan alisema hakuna kilicho juu ya sheria.
Jaji huyo akaongezea kukanusha madai mawili nyeti kuhusu njama za kuibia uchaguzi, kwamba baadhi ya karatasi za kupigia kura ziliwekwa ndani ya visanduku tayari zikiwa na majina ya mgombea wanayemtaka ashinde.
Hatimaye Jaji Sultan akamtangaza mshindi kua ni Bw.Mursi ambaye ni Mwenyekiti wa chama cha Muslim Brotherhood cha Freedom and Justice, Bw.Mursi.
Baada ya dakika kadhaa akitangaza marekebisho kuhusu matokeo madomadogo ya kura ndipo akamtangaza Bw.Mursi kua mshindi kwa kuzoa kura 13,230,131, na Bw.Shafiq akiweza kuzoa 12,347,380, sawa na asili mia 48.27%.
Chanzo: bbc swahili. http://www.bbc.co.uk/swahili/habari
Mkuu wa jopo la Majaji, Farouq Sultan, amesema kua wamezingatia malalamiko 466 kutoka kwa wagombea, ingawa matokeo ya uchaguzi hayatobalika.
Tangazo hilo lilifuatiwa na shangwe na vigelegele katikakati ya medani ya Tahrir mjini Cairo ambako wafuasi wengi wa Bw.Mursi walikua wamekuanyika.
Wafuasi hao wamekaa kwenye medani hio kwa siku kadhaa wakionyesha msimamo wao wa kuchukia sheria kadhaa zilizotangazwa na Baraza la juu la utawala wa majeshi ambayo wanadai zimeundwa ili kupunguza mamlaka ya Rais na kuelekeza uwezo mkubwa kwa majeshi.
Wafuasi wa Bw.Shafiq nao waliweka kambi yao katika eneo la kaskazini mwa mji ambako kuna makao makuu ya Tume ya uchaguzi huko Nasser City.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi Jaji Sultan alianza kwa kunena kua tangazo la matokeo ya uchaguzi yalikua yamezongwa na shinikizo pamoja na hali ya wasiwasi.
Tume ya uchaguzi ilizingatia sheria ilipochunguza visanduku vya kupigia kura, na Jaji.Sultan alisema hakuna kilicho juu ya sheria.
Jaji huyo akaongezea kukanusha madai mawili nyeti kuhusu njama za kuibia uchaguzi, kwamba baadhi ya karatasi za kupigia kura ziliwekwa ndani ya visanduku tayari zikiwa na majina ya mgombea wanayemtaka ashinde.
Hatimaye Jaji Sultan akamtangaza mshindi kua ni Bw.Mursi ambaye ni Mwenyekiti wa chama cha Muslim Brotherhood cha Freedom and Justice, Bw.Mursi.
Baada ya dakika kadhaa akitangaza marekebisho kuhusu matokeo madomadogo ya kura ndipo akamtangaza Bw.Mursi kua mshindi kwa kuzoa kura 13,230,131, na Bw.Shafiq akiweza kuzoa 12,347,380, sawa na asili mia 48.27%.
Chanzo: bbc swahili. http://www.bbc.co.uk/swahili/habari
Saturday, June 23, 2012
Airtel Yatoa Msaada Vifaa Vya Michezo Shule Za Msingi Gongolamboto

Afisa uhusiano wa Airtel, Jane Matinde akikabidhi jezi za mpira kwa Mwalimu mkuu wa shule ya msingi ya Maarifa, Marietha Mulyalya wakati Airtel ilipotembelea shule za Mwangaza, Maarifa na Gongolamboto Jaika Gongolamboto na kukabidhi vifaa vya michezo hapo Jana

Afisa uhusiano wa Airtel, Jane Matinde akikabidhi jezi za mpira kwa Mwalimu wa Taaluma na michezo wa shule ya msingi ya Gongolamboto Jaika, Almasi Shemdoe wakati Airtel ilipotembelea shule za msingi za Gongolamboto za Mwangaza, Maarifa na Gongolamboto Jaika na kugawa vifaa vya michezo.
Afisa uhusiano wa Airtel, Jane Matinde akikabidhi jezi za mpira kwa Mwalimu wa Taaluma na michezo wa shule msingi ya Mwangaza, Abdul Mwarami wakati Airtel ilipotembelea shule za Mwangaza, Maarifa na Gongolamboto Jaika na kukabidhi vifaa vya michezo. Chanzo: www.fullshangweblog.com
Mwili Wa Marehemu Willy Edward Utawekwa Kwenye Nyumba Yake Ya Milele Leo Saa 9 Alasiri
MWILI wa aliyekuwa Mhariri Mkuu wa gazeti la Jambo Leo, marehemu Willy Edward utawekwa kwenye nyumba yake ya milele leo saa 9 alasiri katika kiwanja cha nyumba yao eneo la Molotonga, Mugumu Mjini, wilayani Serengeti , mkoani Mara.
Kwa mujibu wa ratiba ya mazishi iliyotolewa na Msemaji wa Familia, George Ogunde, inaeleza kuwa ibada ya mazishi itaanza saa 5 nyumbani kwa mzee Edward Ogunde, itaongozwa na Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mara, Hilikia Omindo, Askofu wa Anglikana Dayosisi ya Rorya, John Adiema na Mussa Omboi Mchungaji Msaidizi wa Parishi ya Mugumu.
Baada ya ibada kitakachofuatia ni wananchi kuaga mwili wa mpendwa wetu, marehemu, Willy Edward na hatimaye maziko.
Mkuu wa Mkoa wa Mara ambaye kwa hivi sasa yupo bungeni kushiriki wakati wa kutangazwa kwa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), atatuma mwakilishi kwenye mazishi hayo.
Baadhi ya viongozi wengine watakaoshiriki katika mazishi hayo ni Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jacquiline Liana, Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Shinyanga, Hamis Mgeja na wengine wengi.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda aliwasili jana kwenye msiba akitokea Dar es Salaam, akiwa na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari ya Dar es Salaam, Jane Mihanji, Mhariri wa Gazeti la Matanzania Jumapili, Revocatus Makaranga na Kulwa Karedia ambaye ni Mhariri Mkuu wa gazeti la kila siku la Mtanzania.
Chanzo: http://richard-mwaikenda.blogspot.com/
Mahakama Kuu Ya Tanzania Yatoa Amri Ya Kusitisha Mgomo Wa Madaktari
Kufuatia Tangazo la Chama cha Madaktari nchini (MAT) la kuanza mgomo siku ya Jumamosi tarehe 23 Juni, 2012, Mahakama Kuu ya Tanzania,Kitengo cha kazi,Dar es Salaam imetoa amri ya kusitisha mgomo huo mpaka hapo pande zote mbili yaani Serikali na Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) yatakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.
· Amri hiyo ya Mahakama imetolewa kufuatia maombi namba 73 ya 2012 yaliyowasilishwa chini ya hati ya dharura na Mwanasheria Mkuu wa Serikali dhidi ya Chama cha Madaktari Tanzania (MAT).Sababu za msingi amabazo zimepelekea Mahakama kuu kutoa amri hiyo upande mmoja ni pamoja na;
· Iwapo mgomo huo utatokea utakuwa na kuwa amri hii isipotolewa madhara yake ni makubwa isiyoweza kufidiwa kwa namna yoyote ile kama vile kupoteza maisha n.k
· Wajibu maombi,ambao ni MAT, inaundwa na Madaktari ambao wapo katika Sekta ambayo inatoa huduma mahsusi (essential service sector), Aidha Chama cha Madaktari Tanzania kimetangaza mgomo bila kufuatia taratibu zilizoanishwa katika Kifungu cha 76(1 na 2) cha Sheria ya Kazi (Employment and Labour Relations Act No 6 ya 2004.
Masharti hayo ni
· Kuzuia wafanyakazi walio katika Sekta Muhimu kugoma na kama wakigoma, Kuwepo na makubalianao ya pamoja ya kutoa huduma za msingi wakati mgomo ukiendelea. Kwa misingi huu,Mahakama Kuu ya Tanzania, kwa Chama cha Madktari Nchini na wanachama wake kusitisha na kutoshiriki katika mgomo huo.
· Amri hiyo ya Mahakama imetolewa kufuatia maombi namba 73 ya 2012 yaliyowasilishwa chini ya hati ya dharura na Mwanasheria Mkuu wa Serikali dhidi ya Chama cha Madaktari Tanzania (MAT).Sababu za msingi amabazo zimepelekea Mahakama kuu kutoa amri hiyo upande mmoja ni pamoja na;
· Iwapo mgomo huo utatokea utakuwa na kuwa amri hii isipotolewa madhara yake ni makubwa isiyoweza kufidiwa kwa namna yoyote ile kama vile kupoteza maisha n.k
· Wajibu maombi,ambao ni MAT, inaundwa na Madaktari ambao wapo katika Sekta ambayo inatoa huduma mahsusi (essential service sector), Aidha Chama cha Madaktari Tanzania kimetangaza mgomo bila kufuatia taratibu zilizoanishwa katika Kifungu cha 76(1 na 2) cha Sheria ya Kazi (Employment and Labour Relations Act No 6 ya 2004.
Masharti hayo ni
· Kuzuia wafanyakazi walio katika Sekta Muhimu kugoma na kama wakigoma, Kuwepo na makubalianao ya pamoja ya kutoa huduma za msingi wakati mgomo ukiendelea. Kwa misingi huu,Mahakama Kuu ya Tanzania, kwa Chama cha Madktari Nchini na wanachama wake kusitisha na kutoshiriki katika mgomo huo.
MAMA KANUMBA ANUNUA...
ZIMEKATIKA siku 75 tangu kufariki dunia kwa supastaa wa filamu za Bongo, Steven Charles Kanumba, Aprili 7, 2012. Mama mzazi wa marehemu huyo, Flora Mtegoa mambo yamemnyookea ambapo amenunua jumba kubwa la kifahari, Risasi Jumamosi linakuwa la kwanza kuripoti.
CHANZO CHATEMA NYETI
Kwa mujibu wa chanzo cha uhakika, mjengo huo upo Kimara Temboni jijini Dar es Salaam ambapo mama huyo na familia yake (akiwemo Seth Bosco) wamehamia.
Sanjari na wao, pia magari matatu ya marehemu, Toyota Hiace, Toyota Lexus na Toyota GX 110 yamepiga kambi huko, kila moja likiwa na sehemu yake ya kuegesha.
Kwa mujibu wa chanzo hicho, kwa sasa mama Kanumba hana makazi tena pale Sinza Kijiweni ambako ndiko palipofanyikia msiba wa mwanaye hadi kuhitimisha na arobaini yake.
KUNA USIRI
Chanzo kikadai kuwa kuhama kwa mama huyo na familia yake kutoka Sinza kwenda Temboni kumegubikwa na usiri bila kufafanua siri hiyo inatokana na nini!
MAPAPARAZI WAINGIA MZIGONI KUCHUNGUZA
Baada ya gazeti hili kuzidaka nyeti hizo, Alhamisi ya Juni 21, 2012 lilituma timu ya waandishi wake kwenda kupata uhakika wa madai hayo na kujiridhisha kabla ya gazeti halijakwenda mitamboni.
NJE YA NYUMBA
Ndani ya geti kuu la nyumba hiyo yenye bati la kijani, alikutwa mdogo wa marehemu Kanumba, Seth Bosco akipata chai huku upepo mwanana ukimpuliza. Mama Kanumba alikuwa akiendelea na shughuli zake za kawaida.
Mbali na kuwaona wawili hao, mapaparazi wetu waliendelea na uchunguzi wao ambapo waliipiga raundi nyumba hiyo na kujionea magari yote matatu ya marehemu yakiwa yamepaki huku jamaa mmoja akiwa juu ya bati kuweka dishi la televisheni la ‘kuangalizia’ Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Ulaya ‘Euro’ yanayoendelea kwa sasa nchini Poland na Ukraine.
Makachero wetu walipojiridhisha kuwa mama Kanumba ndiyo kaweka makazi yake mapya, lilipiga picha za kumwaga kisha lilimwendea hewani Seth na kuzungumza naye ili kupata ukweli mwingine.
SAUTI YA SETH KUTOKEA TEMBONI
Paparazi: Mambo Seth?
Seth: Poa tu, nani mwenzangu?
Paparazi: Unaongea na Risasi Jumamosi hapa.
Seth: Enhe, lete habari.
Paparazi: Inasemekana mmehama pale Vatican, mmehamia wapi?
Seth: Aaa, tumehamia Temboni huku.
Paparazi: Ni kweli huko mmenunua nyumba?
Seth: Ni kweli.
Paparazi: Shilingi ngapi?
Seth: Mh! Hilo swali anayeweza kujibu ni mama kwamba ni shilingi ngapi na mambo mengine yote.
Risasi Jumamosi lilipomsaka mama Kanumba kwa kutumia simu yake ya mkononi, hakupatikana hewani siku hiyo.
MJENGO WA BEI MBAYA
Hata hivyo, Risasi Jumamosi lilifanya uchunguzi na kunyaka baadhi ya nyaraka zinazoonesha kuwa mjengo huo umenunuliwa kwa shilingi milioni themanini (80,000,000) za Kibongo.
MASTAA HAWAJUI
Gazeti hili lilijaribu kufanya mawasiliano na baadhi ya mastaa wa filamu Bongo kama wanajua mama yao huyo amehama Sinza lakini kila aliyeulizwa hakuwa anafahamu na kuwa ‘sapraizi’ kwake.
Mwanyekiti wa Klabu ya Bongo Movie, Jacob Steve ‘JB’ alipovutiwa uzi na kuulizwa alisema hajui kama mama Kanumba amehama Sinza.
HII HAPA SAUTI YAKE
“Amehama pale? Duu! Mimi sijui kaka.”
MWAKIFAMBA AKIWA NJIANI KWENDA SINZA
Naye Mwenyekiti wa Shirikisho la Filamu Bongo, Simon Mwakifamba alipopigiwa simu kuulizwa, akajibu anaamini mama huyo bado yupo Sinza, na yeye mwenyewe alipanga kwenda siku hiyo ya Alhamisi jioni ili akamjulie hali. pisha zaidi - globalpulishershttp://www.globalpublishers.
Subscribe to:
Posts (Atom)































