Mtu aliyepanga njama za kutaka kumuuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela amepatikana na hatia.
Mahakama ya Pretoria ilimpata kiongozi wa kundi la -Boeremag linaloamini kuwa mtu mweupe ni bora alipatikana na hatia ya kupanga kummua Mandela mwaka 2002.
Bwana Mike du Toit ndiye aliyepanga milipuko tisa katika eneo la Soweto mjini Johannesburg mwaka 2002.
Kiongozi huyo wa kundi la ki-baguzi ni mtu wa kwanza kupatikana na hatia tangu utawala wa wengi uanze mwaka 1994 Afrika kusini.
Wachanganuzi wanasema kuwa bado kuna hali ya kutopendana katiki ya watu wa rangi tofauti nchini Afrika kusini.
Hata hivyo kundi kama la Boeremag,inayomaanisha Nguvu za Makaburu miongoni mwa Makaburu ,halina ufuasi mkubwa.
Mahakama hiyo ya Pretoria imempata Du Toit, ambaye alikuwa msomi baada ya kusikiliza kesi hiyo kwa miaka tisa.
Chanzo: http://www.bbc.co.uk/swahili/habari
Friday, July 27, 2012
Makamu Wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal Atembelea Chuo Kipya Cha Nelson Mandela
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozwa na Makamu wa Mwenyekiti wa Chuo kipya cha Nelson Mandela ‘The Nelson Mandela African Instute Of Science and Technology’, Prof. Burton Mwamila, leo Julai 27, 2012 akitembelea mazingira ya Chuo hicho kinachotarajia kuanza kusajili wanafunzi hivi karibuni kilichopo Jijini Arusha. Makamu wa Rais ameteuliwa na Rais Jakaya Kikwete, kuwa Mkuu wa Chuo hicho.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, mkewe Mama Asha Bilal, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Magesa Mwilongo na Makamu Mwenyekiti wa Chuo cha Nelson Mandela ‘The Nelson Mandela African Instute Of Science and Technology’, Prof. Burton Mwamila, kwa pamoja wakifurahia mtandao wa mawasiliano kwa njia ya Video unaowawezesha wanafunzi kuonana na kuzungumza na kuchangia masomo kutoka sehemu tofauti ndani na nje ya mkoa huo wa Arusha, wakati Makamu alipofika chuoni hapo leo Julai 27, 2012 kutembelea na kukagua chuo hicho kinachotarajia kuanza kusajili wanafunzi hivi karibuni. Makamu wa Rais ameteuliwa na Rais Jakaya Kikwete, kuwa Mkuu wa Chuo hicho.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Chuo cha Nelson Mandela ‘The Nelson Mandela African Instute Of Science and Technology’, Prof. Burton Mwamila, kuhusu matuzmi ya baadhi ya majengo yaliyopo katika Chuo hicho, wakati Makamu alipofika chuoni hapo leo Julai 27, 2012 kutembelea na kukagua chuo hicho kinachotarajia kuanza kusajili wanafunzi hivi karibuni. Makamu wa Rais ameteuliwa na Rais Jakaya Kikwete, kuwa Mkuu wa Chuo hicho.
Picha na Muhidin Sufiani-OMR.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, mkewe Mama Asha Bilal, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Magesa Mwilongo na Makamu Mwenyekiti wa Chuo cha Nelson Mandela ‘The Nelson Mandela African Instute Of Science and Technology’, Prof. Burton Mwamila, kwa pamoja wakifurahia mtandao wa mawasiliano kwa njia ya Video unaowawezesha wanafunzi kuonana na kuzungumza na kuchangia masomo kutoka sehemu tofauti ndani na nje ya mkoa huo wa Arusha, wakati Makamu alipofika chuoni hapo leo Julai 27, 2012 kutembelea na kukagua chuo hicho kinachotarajia kuanza kusajili wanafunzi hivi karibuni. Makamu wa Rais ameteuliwa na Rais Jakaya Kikwete, kuwa Mkuu wa Chuo hicho.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Chuo cha Nelson Mandela ‘The Nelson Mandela African Instute Of Science and Technology’, Prof. Burton Mwamila, kuhusu matuzmi ya baadhi ya majengo yaliyopo katika Chuo hicho, wakati Makamu alipofika chuoni hapo leo Julai 27, 2012 kutembelea na kukagua chuo hicho kinachotarajia kuanza kusajili wanafunzi hivi karibuni. Makamu wa Rais ameteuliwa na Rais Jakaya Kikwete, kuwa Mkuu wa Chuo hicho.
Picha na Muhidin Sufiani-OMR.
Usalama Wa Taifa Wakanusha Kumtesa DR.Ulimboka
IDARA YA USALAMA WA TAIFA YAKANUSHA KUMTESA DR ULIMBOKA STEVEN
Katika siku za hivi karibuni, kumejitokeza taarifa zenye tuhuma kadhaa dhidi ya Idara ya Usalama wa Taifa. Taarifa hizo zimekuwa zikitolewa kwenye vyombo vya habari zikiihusisha Idara hii na matukio ambayo yanaidhalilisha na kuzua maswali mengi kwa wananchi.
Kati ya tuhuma hizo ni tukio la kutekwa kwa Dr. STEPHEN ULIMBOKA, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari na madai ya kufanywa kwa mipango ya kuwadhuru baadhi ya Viongozi wa Vyama vya Upinzani. Gazeti moja la kila wiki limekuwa likurudia tuhuma hizo mara kwa mara kwa madai kwamba ni
habari za uchunguzi na kuihusisha Idara.
Idara inataka kuwahakikishia wananchi kwamba taarifa hizo ni za UZUSHI NA UONGO ambazo zina nia ya kuharibu jina na sifa ya Idara. Taarifa hizo zimekuwa zikiunganishaunganisha vipande vya taarifa mbalimbali
ili kukidhi malengo yaliyokusudiwa na wanaolitumiagazeti hilo. Idara haikuhusika wala haihusiki na matukio yoyote yaliyotajwa katika tuhuma hizo. Hivyo tunawaomba wananchi wazipuuze taarifa hizo.
Matukio yaliyotajwa katika tuhuma hizo yanachunguzwa na Jeshi la Polisi ambacho ndicho Chombo Chenye Dhamana, na kwa Maslahi ya Taifa si vizuri kuachia upotoshaji huo uendelee.
Aidha, tunapenda kuwahakikishia Watanzania kuwa uzushi na tuhuma zinazotolewa dhidi ya Idara hazitatuvunja moyo bali zitatuunganisha na hivyo kutuimarisha katika azima yetu ya kuhakikisha nchi yetu inaendelea kubaki salama kwa kushirikiana na wanachi na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama.
Imetolewa na Idara ya Usalama wa Taifa,
Makao Makuu,
DAR ES SALAAM
26 Julai, 2012.
Katika siku za hivi karibuni, kumejitokeza taarifa zenye tuhuma kadhaa dhidi ya Idara ya Usalama wa Taifa. Taarifa hizo zimekuwa zikitolewa kwenye vyombo vya habari zikiihusisha Idara hii na matukio ambayo yanaidhalilisha na kuzua maswali mengi kwa wananchi.
Kati ya tuhuma hizo ni tukio la kutekwa kwa Dr. STEPHEN ULIMBOKA, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari na madai ya kufanywa kwa mipango ya kuwadhuru baadhi ya Viongozi wa Vyama vya Upinzani. Gazeti moja la kila wiki limekuwa likurudia tuhuma hizo mara kwa mara kwa madai kwamba ni
habari za uchunguzi na kuihusisha Idara.
Idara inataka kuwahakikishia wananchi kwamba taarifa hizo ni za UZUSHI NA UONGO ambazo zina nia ya kuharibu jina na sifa ya Idara. Taarifa hizo zimekuwa zikiunganishaunganisha vipande vya taarifa mbalimbali
ili kukidhi malengo yaliyokusudiwa na wanaolitumiagazeti hilo. Idara haikuhusika wala haihusiki na matukio yoyote yaliyotajwa katika tuhuma hizo. Hivyo tunawaomba wananchi wazipuuze taarifa hizo.
Matukio yaliyotajwa katika tuhuma hizo yanachunguzwa na Jeshi la Polisi ambacho ndicho Chombo Chenye Dhamana, na kwa Maslahi ya Taifa si vizuri kuachia upotoshaji huo uendelee.
Aidha, tunapenda kuwahakikishia Watanzania kuwa uzushi na tuhuma zinazotolewa dhidi ya Idara hazitatuvunja moyo bali zitatuunganisha na hivyo kutuimarisha katika azima yetu ya kuhakikisha nchi yetu inaendelea kubaki salama kwa kushirikiana na wanachi na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama.
Imetolewa na Idara ya Usalama wa Taifa,
Makao Makuu,
DAR ES SALAAM
26 Julai, 2012.
Thursday, July 26, 2012
MH.SPIKA ANNE MAKINDA ASHEHEREKEA SIKU YA KUZALIWA
Keki ilipowasili
Spika Anne Makinda akipokea keki kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa Bunge.
Mhe. Spika Anne Makinda, Mb.akikata keki katika birthday yake .
Spika wa Bungbe Anne Makinda akikata keki tayari kwa kuila katika birthday yake
Spika Anne Makinda akipokea keki kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa Bunge.
Mhe. Spika Anne Makinda, Mb.akikata keki katika birthday yake .
Spika wa Bungbe Anne Makinda akikata keki tayari kwa kuila katika birthday yake
Hongera Mama Kwa Kufikisha miaka 60 na kustaaf
Pongezi za dhati Kabisa kwa uongozi mzima wa Arusha School
Mr &Mrs Lyimo
Naona Mkuu wa shule anakuna kichwa tutapata wapi tena matron kama wewe mwenye maadili jamani
Picha ya pamoja na wafanyakazi wa Arusha School hakika mmeonesha mshikamano na upendo
Mama akiwa na Zawadi aliyopewa na wafanyakazi wa Arusha School
Mamatron wakicheza na matron mwenzao ambae takrabani miaka arobaini waliishi pamoja kwa upendo
Jamani ni huzuni ila ni furaha kukuaga Mamatron wakiwa wamekumbatiana kwa furaha na huzuni
Wafanyakazi wakatambua uwepo wa baba mchungaji hakika unastahili pongezi baba
Hongera mama
Hongera mama
Na saa ya Maakuli
Mama akichukua chakula
Baba akichukua chakula
Mkuu wa shule Alichukua chakula
Mrs Christian wifi yangu mwenyewe mwingine photocopy mama
Mwana blogger Mwenyewe Mwili haujengwi kwa matofali jamani
Kaka chukua msosi
Mbunge wetu mtarajiwa big up mama
Matron wetu akitowa Nasahaa zake kwa wafanyakazi anao waaga
Wakafungua Musiki
Familia
Hongera mkuu wa shule
Tukabadilishana Mawazo na IT wangu Mtarajiwa
Kwa Niaba ya watoto natowa shukrani za dhati kwa wazazi wetu na uongozi mzima wa shule ya Arusha School kwa upendo mliotuonyesha tangu mama alipoaza kazi hadi Kustaafu mungu awazidishie mara mia tupo pamoja kwenye raha na shida.
Mr &Mrs Lyimo
Naona Mkuu wa shule anakuna kichwa tutapata wapi tena matron kama wewe mwenye maadili jamani
Picha ya pamoja na wafanyakazi wa Arusha School hakika mmeonesha mshikamano na upendo
Mama akiwa na Zawadi aliyopewa na wafanyakazi wa Arusha School
Mamatron wakicheza na matron mwenzao ambae takrabani miaka arobaini waliishi pamoja kwa upendo
Jamani ni huzuni ila ni furaha kukuaga Mamatron wakiwa wamekumbatiana kwa furaha na huzuni
Wafanyakazi wakatambua uwepo wa baba mchungaji hakika unastahili pongezi baba
Hongera mama
Hongera mama
Na saa ya Maakuli
Mama akichukua chakula
Baba akichukua chakula
Mkuu wa shule Alichukua chakula
Mrs Christian wifi yangu mwenyewe mwingine photocopy mama
Mwana blogger Mwenyewe Mwili haujengwi kwa matofali jamani
Kaka chukua msosi
Mbunge wetu mtarajiwa big up mama
Matron wetu akitowa Nasahaa zake kwa wafanyakazi anao waaga
Wakafungua Musiki
Familia
Hongera mkuu wa shule
Tukabadilishana Mawazo na IT wangu Mtarajiwa
Kwa Niaba ya watoto natowa shukrani za dhati kwa wazazi wetu na uongozi mzima wa shule ya Arusha School kwa upendo mliotuonyesha tangu mama alipoaza kazi hadi Kustaafu mungu awazidishie mara mia tupo pamoja kwenye raha na shida.
Subscribe to:
Posts (Atom)














































