Tuesday, May 6, 2014
jamani bomu tena kanisani jijini mwanza
Bibi Benadta alifred ajeruhiwa vibaya baada ya kufungua kitu asichokijua baada ya kukaa kwa muda sehemu ya kupumzikia eneo la kanisa hilo jijini mwanza. habari kamili na picha tunakuletea hivi punde..
Friday, May 2, 2014
Wednesday, April 16, 2014
Tumerudi wapenzi wa Tanzania Asilia live
Habari za siku natumaini wote mko powa. Baada ya kupotea kwa muda sasa Tanzania Asilia Live mtandao wako umerudi kukuletea mambo kedekedee tukiwa na mambo mengi yakukufahamisha kaa mkao wa kupata vitu vipya.
Tuesday, July 2, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)