Tuesday, May 6, 2014

jamani bomu tena kanisani jijini mwanza

Bibi Benadta alifred ajeruhiwa vibaya baada ya kufungua kitu asichokijua baada ya kukaa kwa muda sehemu ya kupumzikia eneo la kanisa hilo jijini mwanza. habari kamili na picha tunakuletea hivi punde..

Wednesday, April 16, 2014

Tumerudi wapenzi wa Tanzania Asilia live

Habari za siku natumaini wote mko powa. Baada ya kupotea kwa muda sasa Tanzania Asilia Live mtandao wako umerudi kukuletea mambo kedekedee tukiwa na mambo mengi yakukufahamisha kaa mkao wa kupata vitu vipya.

Tuesday, July 2, 2013

KWA HERI BARACK ABAMA....KARIBU TENA NA SAFARI NJEMA

MAZISHI YA MANDELA YAGOMBANIWA NA VYOMBO VYA HABARI PINDI ATAKAPOFARIKI

PICHA ZA WANANCHI TOKA UBUNGO WAKISUBIRI MSAFARA WA RAIS OBAMA

MFALME MSWATI WA SWAZILAND AAONDOKA NCHINI NA AMEWATAKA WATANZANIA WABADILIKE

MAREKANI KUFUNGUA UKURASA MPYA KATIKA UWEKEZAJI BARANI AFRIKA

GEORGE BUSH NA OBAMA WATAKUTANA ANA KWA ANA KATIKA ARDHI YA TANZANIA

TANZANIA YAUMBULIWA....GAZETI MAARUFU LA MAREKANI LAANIKA UKATILI UNAOTENDEKA NCHINI

PICHA ZA RAIS OBAMA ALIPOTUA KATIKA ARDHI YA TANZANIA

MMILIKI WA FACEBOOK NA WAFANYAKAZI WAKE WASHEREHEKEA KUPITISHWA KWA SHERIA YA NDOA YA JINSIA MOJA

MKE WA OBAMA ATEMBELEA WAMA FOUNDATION NA KUKUTANA NA MAMA SALMA KIKWETE

TUJIKUMBUSHE MAMBO MACHACHE YANAYOTENDEKA KUHUSU OBAMA AMBAYE TAYARI YUPO TANZANIA

Obama ameshatua Tanzania