Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Askofu mpya wa KKKT Dayosisi ya kati
Dkt Alex Seif Mkumbo (mwenye fimbo) pamoja na viongozi wa kanisa hilo
wakiongozwa na Askofu Mkuu Dkt Alex Gehaz Malasusa (kulia kwa Rais),
Msaidizi mpya wa Dayosisi hiyo Mchungaji Syprian Yohana Hilinti (wa tatu
kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Kone na viongozi wengine katika
sherehe ya Kusimikwa Wakfu Askofu Mkumbo katika kanisa la KKKT la
Singida jana Januari 6, 2013.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na kiongozi wa kanisa la KKKT
nchini Dkt Alex Gehaz Malasusa na Askofu mpya wa KKKT Dayosisi ya
kati Dkt Alex Seif Mkumbo baada ya sherehe ya Kusimikwa Wakfu Askofu
Mkumbo katika kanisa la KKKT la Singida jana Januari 6, 2013
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na kiongozi wa kanisa la KKKT
nchini Dkt Alex Gehaz Malasusa baada ya kupokea kamba kama ishara ya
kupokea zawadi ya ngombe toka kwa Dayosisi hiyo huku Askofu mpya wa
KKKT Dayosisi ya kati Dkt Alex Seif Mkumbo akishuhudia katika sherehe
ya Kusimikwa Wakfu Askofu Mkumbo katika kanisa la KKKT la Singida jana
Januari 6, 2013
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Maaskofu wa
Kanisa la KKKT baada ya sherehe ya Kusimikwa Wakfu Askofu Mkumbo
katika kanisa la KKKT la Singida jana Januari 6, 2013
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Wasaidizi wa Maaskofu wa Kanisa la KKKT baada ya sherehe ya Kusimikwa Wakfu Askofu Mkumbo katika kanisa la KKKT la Singida leo Januari 6, 2013
PICHA NA IKULU
Monday, January 7, 2013
RAIS JAKAYA KIKWETE AANZA ZIARA YA SIKU NNE KATIKA MKOA WA TABORA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipkea ripoti ya mkoa wa Tabora toka kwa
Mkuu wa Mkoa Mhe Fatma Mwassa huo aliyosomewa mara baada ya kuwasili
mkoani humo jana kuanza ziara ya kikazi ya siku nne.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Mkuu wa mkoa wa Tabora Mhe Fatma Mwassa wakati alipokuwa akisoma ripoti hiyo mbele ya Rais mara baada ya kuwasili kuanza ziara ya kikazi ya siku nne.
(PICHA NA IKULU)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Mkuu wa mkoa wa Tabora Mhe Fatma Mwassa wakati alipokuwa akisoma ripoti hiyo mbele ya Rais mara baada ya kuwasili kuanza ziara ya kikazi ya siku nne.
(PICHA NA IKULU)
MIRAJI MRISHO KIKWETE ATEULIWA KUWA “MAKAMU WA RAIS” WA IBF/AFRIKA MAENDELEO YA VIJANA
+Shirikisho la Ngumi la Kimataifa Africa (IBF/Africa) limemteua bwana Miraji Mrisho Kikwete kuwa Makamu wa Rais anayeshughulikia maendeleo ya vijana katika bara la Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati. Uteuzi wa Miraji unaanza January mwaka mpya 2013.
Katika kumteua Miraji, Rais wa IBF katika bara la Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati bwana Onesmo Ngowi alisema kuwa Miraji ana uwezo wa kuwahamasisha na kuwaunganisha vijana katika shughuli za maendeleo.
Aliendelea kusema kuwa Miraji atakuwa anawahamashisha vijana, kuwaunganisha, kuwajengea uwezo wa kimaendeleo yatakayoratibiwa na IBF.
Aidha, Rais huyo alisema kuwa Miraji atakuwa anabuni njia mbalimbali za kuwaunganisha vijana wa Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati ili waweze kufaidika na miradi ya IBF ambayo inalenga kwenye elimu, kujenga vipaji pamoja na kuwaunganisha kwenye biashara ya utalii wa michezo.
Katika mkutano wake wa mwaka uliofanyika katika jiji la Honolulu, jimbo la Hawaii, nchini Marekani hivi karibuni IBF iliupokea mradi wa “Utalii wa Michezo” uliobuniwa na kuwakilisshwa na Rais wa IBF katika bara la Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati Mtazania Onesmo Ngowi.
Lengo kuu la mradi huu ni kulifanya bara la Afrika hususan Tanzania kuwa kitovu kikuu cha “Utalii Michezo” hivyo kujenga uchumi imara. Nchi za Tanzania na Ghana ziliteuliwa kuwa nchi za mfano kwenye mradi huu.
Katika mradi huu, IBF itatumia mtandao walionao katika nchi zaidi ya 203 duniani kuhamasisha wanachama wake na famlia zao, wapenzi pamoja na marafiki zao kuja Afrika/Tanzania kutalii pamoja na kuwekeza katika miradi mbalimbali.
Uteuzi wa Miraji utasaidia kuwaunganisha vijana ili waweze kuchangia na kufaidika na biashara ya utalii kwenye mradi huu umefanywa wakati muafaka.
Miraji ambaye ni Mjasiliamali amejipambanua katika maendeleo ya jamii na ana mchango mkubwa sana katima kuendeleza vijana nchini Tanzania.
Rais Ngowi alimwelezea Miraji kama tegemeo ambalo vijana wanalihitaji kwani wanahitaji uhamasishaji wa hali ya juu na Miraji ana uwezo wa kufanya kazi hiyo kwa ufanisi mkubwa kwani alishawahi kuifanya kwa kipindi kitefu.
Miraji Mrisho Kikwete ni msomi wa chuo kikuu cha nchini Oman ambako amesomea elimu ya utawala wa biashara ambayo ndiyo lengo kuu la uteuzi wake. Ana haiba ya kupendwa na vijana pamoja na uwezo wa kujichanganya nao.
Katika kumteua Miraji, Rais wa IBF katika bara la Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati bwana Onesmo Ngowi alisema kuwa Miraji ana uwezo wa kuwahamasisha na kuwaunganisha vijana katika shughuli za maendeleo.
Aliendelea kusema kuwa Miraji atakuwa anawahamashisha vijana, kuwaunganisha, kuwajengea uwezo wa kimaendeleo yatakayoratibiwa na IBF.
Aidha, Rais huyo alisema kuwa Miraji atakuwa anabuni njia mbalimbali za kuwaunganisha vijana wa Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati ili waweze kufaidika na miradi ya IBF ambayo inalenga kwenye elimu, kujenga vipaji pamoja na kuwaunganisha kwenye biashara ya utalii wa michezo.
Katika mkutano wake wa mwaka uliofanyika katika jiji la Honolulu, jimbo la Hawaii, nchini Marekani hivi karibuni IBF iliupokea mradi wa “Utalii wa Michezo” uliobuniwa na kuwakilisshwa na Rais wa IBF katika bara la Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati Mtazania Onesmo Ngowi.
Lengo kuu la mradi huu ni kulifanya bara la Afrika hususan Tanzania kuwa kitovu kikuu cha “Utalii Michezo” hivyo kujenga uchumi imara. Nchi za Tanzania na Ghana ziliteuliwa kuwa nchi za mfano kwenye mradi huu.
Katika mradi huu, IBF itatumia mtandao walionao katika nchi zaidi ya 203 duniani kuhamasisha wanachama wake na famlia zao, wapenzi pamoja na marafiki zao kuja Afrika/Tanzania kutalii pamoja na kuwekeza katika miradi mbalimbali.
Uteuzi wa Miraji utasaidia kuwaunganisha vijana ili waweze kuchangia na kufaidika na biashara ya utalii kwenye mradi huu umefanywa wakati muafaka.
Miraji ambaye ni Mjasiliamali amejipambanua katika maendeleo ya jamii na ana mchango mkubwa sana katima kuendeleza vijana nchini Tanzania.
Rais Ngowi alimwelezea Miraji kama tegemeo ambalo vijana wanalihitaji kwani wanahitaji uhamasishaji wa hali ya juu na Miraji ana uwezo wa kufanya kazi hiyo kwa ufanisi mkubwa kwani alishawahi kuifanya kwa kipindi kitefu.
Miraji Mrisho Kikwete ni msomi wa chuo kikuu cha nchini Oman ambako amesomea elimu ya utawala wa biashara ambayo ndiyo lengo kuu la uteuzi wake. Ana haiba ya kupendwa na vijana pamoja na uwezo wa kujichanganya nao.
Sunday, January 6, 2013
Hoteli bora duniani ipo Tanzania.Unajua hilo
Singita Grumeti Reserves
Kwa mwaka wa pili mfululizo, hoteli bora duniani ipo Tanzania.
Aidha, kati ya hoteli bora duniani 20, Tanzania ina tatu kwa jumla ikiwemo hiyo ya 1, 9 na ya 15.
Kenya wana moja tu kwenye nafasi ya 20 na Afrika Kusini ina nne, nafasi ya 7, 10, 13, na 14.
Baada ya hoteli hizi, kuna moja tu ya Afrika huko Botswana kwenye nafasi ya 17.
Bofya hapa http://www.travelandleisure. com/worldsbest/2012/hotels
kuziona zote 100 lakini kwa chini hapo kuna orodha ya 20 za kwanza.....................
Hata hivyo, nchi yetu inazungukwa mara kumi hadi kumi na moja na jirani zetu Kenya kwenye pato la utalii na pia hoteli za Kenya ziliopo pwani tu, zinazidi kwa idadi jumla ya hoteli zote zilizopo Tanzania Bara.
Kwa mwaka wa pili mfululizo, hoteli bora duniani ipo Tanzania.
Aidha, kati ya hoteli bora duniani 20, Tanzania ina tatu kwa jumla ikiwemo hiyo ya 1, 9 na ya 15.
Kenya wana moja tu kwenye nafasi ya 20 na Afrika Kusini ina nne, nafasi ya 7, 10, 13, na 14.
Baada ya hoteli hizi, kuna moja tu ya Afrika huko Botswana kwenye nafasi ya 17.
Bofya hapa http://www.travelandleisure.
kuziona zote 100 lakini kwa chini hapo kuna orodha ya 20 za kwanza.....................
Top 100 Hotels Overall
| Rank | '11 | Name | Score |
|---|---|---|---|
| 1 | 1 | Singita Grumeti Reserves, Serengeti National Park, Tanzania |
98.25 |
| 2 | 6 | Triple Creek Ranch, Darby, Montana | 98.22 |
| 3 | - | Southern Ocean Lodge, Kangaroo Island, Australia |
97.87 |
| 4 | 5 | Oberoi Udaivilas, Udaipur, India | 97.50 |
| 5 | 55 | Discovery Shores, Boracay, Phillippines | 96.77 |
| 6 | - | Nayara Hotel, Spa & Gardens, La Fortuna-Arenal, Costa Rica |
96.36 |
| 7 | 39 | Singita Kruger National Park, South Africa | 96.33 |
| 8 | 19 | Palacio Duhau, Park Hyatt, Buenos Aires |
96.12 |
| 9 | - | Ngorongoro Sopa Lodge, Tanzania | 95.85 |
| 10 | 2 | Singita Sabi Sand, Kruger National Park Area, South Africa | 95.74 |
| 11 | 40 | The Peninsula, Bangkok |
95.72 |
| 12 | - | Wentworth Mansion, Charleston, South Carolina | 95.47 |
| 13 | - | Sabi Sabi Private Game Reserve Lodges, Kruger National Park Area, South Africa | 95.40 |
| 14 | - | One&Only, Cape Town |
95.33 |
| 15 | 9 | Kirawira Luxury Tented Camp, Serengeti National Park, Tanzania | 95.27 |
| 16 | 11 | The Lodge at Kauri Cliffs, North Island, New Zealand | 95.25 |
| 17 | 20 | Mombo Camp and Little Mombo Camp, Moremi Game Reserve, Botswana | 95.17 |
| 18 | 23 | Mandarin Oriental, Bangkok |
95.04 |
| 19 | - | Tu Tu'tun Lodge, Gold Beach, Oregon | 95.00 |
| 20 | 67 | Fairmont Mara Safari Club, Masai Mara, Kenya | 94.84 |
Hata hivyo, nchi yetu inazungukwa mara kumi hadi kumi na moja na jirani zetu Kenya kwenye pato la utalii na pia hoteli za Kenya ziliopo pwani tu, zinazidi kwa idadi jumla ya hoteli zote zilizopo Tanzania Bara.
Saturday, January 5, 2013
Mama Bilal Mgeni Rasmi Tambaza
Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha
Bilal, akisoma hotuba yake wakati alipokuwa mgeni rasmi kwenye Mahafali
ya Kidato cha Sita kwa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kiislamu wa Shule ya
Sekondari ya Tambaza. Mahafali hayo yamefanyika leo Januari 05, 2013
katika shule hiyo ya Tambaza jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake
Mama Asha amewahasa vijana hususan wanafunzi hao waliohitimu masomo
kutokukubali kutumika na watu wenye maslahi binafsi na kujikuta
wakisababisha uvunjifu wa amani. Aidha amewataka kutojihusisha na
makundi yanayochochea uvunjifu wa amani bila kujitambua wafanyalo,
badala yake amewaomba kuwa wakipima kila wanaloambiwa kuwa linamaslahi na
dini yao ama maslahi kwa jamii na taifa kwa ujumla.
Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal, akimkabidhi zawadi mhitimu wa Kidato cha Sita, Zuhura Azmin, kwa kuwa mmoja kati ya waliofanikisha sherehe za mahafali ya Kidato cha Sita kwa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kiislamu wa Shule ya Sekondari ya Tambaza
Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal, akimkabidhi zawadi mhitimu wa Kidato cha Sita, Zuhura Azmin, kwa kuwa mmoja kati ya waliofanikisha sherehe za mahafali ya Kidato cha Sita kwa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kiislamu wa Shule ya Sekondari ya Tambaza
Waziri Membe atangaza kutogombea Ubunge tena
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe.
Membe ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Mtama, mkoani Lindi, alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza kwenye sherehe za Mwaka Mpya nyumbani kwake.
WAZIRI wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ametangaza kuwa hatogomea tena ubunge katika uchaguzi mkuu ujao.
Membe ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Mtama, mkoani Lindi, alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza kwenye sherehe za Mwaka Mpya nyumbani kwake.
“Unajua nimekuwa mbunge wenu kwa kipindi cha tatu. Hivi leo ninawaaga rasmi kuwa sitagombea tena nafsi hii ya ubunge,” alisema Membe.
Membe ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Mtama, mkoani Lindi, alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza kwenye sherehe za Mwaka Mpya nyumbani kwake.
WAZIRI wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ametangaza kuwa hatogomea tena ubunge katika uchaguzi mkuu ujao.
Membe ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Mtama, mkoani Lindi, alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza kwenye sherehe za Mwaka Mpya nyumbani kwake.
“Unajua nimekuwa mbunge wenu kwa kipindi cha tatu. Hivi leo ninawaaga rasmi kuwa sitagombea tena nafsi hii ya ubunge,” alisema Membe.
kinana akemea chokochoko za kidini
KATIBU Mkuu wa CCM,Abdulrahman Kinana amekerwa na chokochoko za kidini zilizoanza kujipenyeza hivi karibuhi na kutoa wito kwa madhehebu ya dini na taasisi zake hapa nchini,kuendelea kuhubiri amani kwa kuliombea taifa , ili wananchi waendelee kujivunia amani iliyoachwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere.
Kinana alitoa kauli hiyo juzi kwenye maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Imam Husein, yanayoadhimishwa na dhehebu la KhojaShia Ithna Asheri Jamaat Arusha kote duniani na kufanyika kwenye msikiti wa jumuiya hiyo jijini hapa , ambapo watu mbalimbali wakiwamo viongozi wa madhehemu pamoja na viongozi wa chama na Serikali walihudhuria.
Kinana alisema kuwa upo umuhimu mkubwa kwa viongozi wa dini na taasisi zake kuendelea kuienzi amani kwa kuhubiri suala la kudumisha amani na kuonya kwamba Serikali haitasita kuchukua hatua za haraka kwa mtu ama kikundi chochote cha dini kitakachojihusisha na uvunjivu wa amani.
Kinana alitoa kauli hiyo juzi kwenye maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Imam Husein, yanayoadhimishwa na dhehebu la KhojaShia Ithna Asheri Jamaat Arusha kote duniani na kufanyika kwenye msikiti wa jumuiya hiyo jijini hapa , ambapo watu mbalimbali wakiwamo viongozi wa madhehemu pamoja na viongozi wa chama na Serikali walihudhuria.
Kinana alisema kuwa upo umuhimu mkubwa kwa viongozi wa dini na taasisi zake kuendelea kuienzi amani kwa kuhubiri suala la kudumisha amani na kuonya kwamba Serikali haitasita kuchukua hatua za haraka kwa mtu ama kikundi chochote cha dini kitakachojihusisha na uvunjivu wa amani.
NDEGE MEDICS YAKABIDHI AMBULANCE ZA KISASA
Head of Primary Medical Centre Bwa. Siwawi Konteh (wa pili kulia) ambaye
pia ni mratibu wa mradi wa Tuunganishe Mikono Pamoja ili kuokoa Afya ya
Mama na Mtoto akizungumzia Malengo Makuu ya mradi huo kuwa ni kuongeza
kiwango na matumizi ya Huduma ya Afya ya Mama Mjamzito na Watoto na
kushirikiana na kujifunza kuhusu Afya ya Mama Mjamzito na Mtoto. Kutoka
kushoto ni Acting Medical Director wa Aga Khan Hospital Dr. Ambrose
Chanji, Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali ya Aga Khan Bw. Amin Habib,
Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Ndege Medics Dr. Sebastian Ndege na
Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Rasilimali Watu cha Hospitali hiyo Bw. Anis
Nazrani.
Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali ya Aga Khan Bw. Amin Habib (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Ndege Medics Services Limited Dr. Sebastian Ndege wakikata utepe kuashiria kukabidhiwa magari ya kubeba wagonjwa kwa Hospitali ya Aga Khan ikiwa ni katika mradi wa kuboresha Afya ya Mama Mjamzito na Mtoto Tanzania
Wakipongezana baada ya makabidhiano hayo.
Pichani Juu na Chini ni muonekano wa magari hayo ya kubebea wagonjwa kwa ndani yaliyotelwa kwa hospitali ya Aga Khan na NDEGE Medics kwa ajili ya mradi wa kuboresha Afya ya Mama Mjamzito na Mtoto Tanzania.
Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali ya Aga Khan Bw. Amin Habib (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Ndege Medics Services Limited Dr. Sebastian Ndege wakikata utepe kuashiria kukabidhiwa magari ya kubeba wagonjwa kwa Hospitali ya Aga Khan ikiwa ni katika mradi wa kuboresha Afya ya Mama Mjamzito na Mtoto Tanzania
Wakipongezana baada ya makabidhiano hayo.
Pichani Juu na Chini ni muonekano wa magari hayo ya kubebea wagonjwa kwa ndani yaliyotelwa kwa hospitali ya Aga Khan na NDEGE Medics kwa ajili ya mradi wa kuboresha Afya ya Mama Mjamzito na Mtoto Tanzania.
walionunua ving'amuzi star times waambiwa wavirejeshe
KAMPUNI ya Star Media Tanzania Ltd (Startime) imewataka watu ambao wamenunua ving’amuzi na kubaini kuwa havifanyi kazi kuvirejesha kwenye ofisi zao ili wapatiwe vingine.
Vilevile wamewataka wale waliouziwa kwa bei ya kulangua wafike kwenye ofisi zao pamoja na risiti walizonunulia ili hatua zinazofaa ziweze kuchukuliwa.
Hatua hiyo inatokanana malalamiko ya wananchi siku chache tangu kuanza kutumika kwa mfumo wa dijitali wa kurusha matangazo ya runiga.
Malalamiko hayo yanayolalamikiwa na kampuni hiyo ni kuhusiana na kushindwa kuonekana kwa baadhi ya chaneli licha kufunga king’amuzi kwenye Televisheni
Vilevile wamewataka wale waliouziwa kwa bei ya kulangua wafike kwenye ofisi zao pamoja na risiti walizonunulia ili hatua zinazofaa ziweze kuchukuliwa.
Hatua hiyo inatokanana malalamiko ya wananchi siku chache tangu kuanza kutumika kwa mfumo wa dijitali wa kurusha matangazo ya runiga.
Malalamiko hayo yanayolalamikiwa na kampuni hiyo ni kuhusiana na kushindwa kuonekana kwa baadhi ya chaneli licha kufunga king’amuzi kwenye Televisheni
Waziri Membe atangaza kutogombea ubunge tena
WAZIRI wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ametangaza kuwa hatogomea tena ubunge katika uchaguzi mkuu ujao.Membe ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Mtama, mkoani Lindi, alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza kwenye sherehe za Mwaka Mpya nyumbani kwake.
“Unajua nimekuwa mbunge wenu kwa kipindi cha tatu. Hivi leo ninawaaga rasmi kuwa sitagombea tena nafsi hii ya ubunge,” alisema Membe.
, ambapo pia aliwataka wananchi wa mikoa ya kusini, kuwa na subira katika kipindi hiki ambapo Serikali inashughulikia mchakato wa kuvuna gesi asilia.
“Unajua nimekuwa mbunge wenu kwa kipindi cha tatu. Hivi leo ninawaaga rasmi kuwa sitagombea tena nafsi hii ya ubunge,” alisema Membe.
, ambapo pia aliwataka wananchi wa mikoa ya kusini, kuwa na subira katika kipindi hiki ambapo Serikali inashughulikia mchakato wa kuvuna gesi asilia.
Leo ikiwa ni siku ya kuwakumbuka Denis na Ismail chadema yafanya shughuli za kijamii...
Moja ya vituo vya kulelea watoto yatima alivyo vitembelea Godbless Lema na katibu mkoa Amani
Mh. Lema akiwa na watoto yatima kati ya vituo alivyotembelea leo katika siku ya kuwakumbuka Denis na Ismil.
Huyu mtoto YATIMA ameshika nafasi ya tatu ktk Wilaya Arusha matokeo ya la saba..
CHADEMA Arusha leo itakuwa na Kumbukumbu ya miaka miwili (2) ya mauaji ya makusudi ya raia wasio kuwa na hatia yaliyotokea 5/1/2011.Kumbukumbu hii itaenda sambamba na chama kufanya shughuli za kijamii,ikiwepo kutembelea vituo vitano vya watoto yatima jijini Arusha,kutoa wafungwa waliofungwa kwa kukosa faini ya ela ndogo,kisha kuhitimishwa kwa mkutano mkubwa wa hadhara.
Tunaomba wapenda haki wote kujitokeza kwa wingi siku ya Jumamosi 5/1/2013 katika ofisi za chama Ngarenaro,kwa ajili ya kwenda kutoa misaada hiyo kwenye vituo vya Yatima,pia tunatoa wito kwa kila mmoja wetu kujitolea chochote anachoweza Sukari/mchele/sabuni/mafuta etc kama ishara ya kutoa Sadaka,kwa Mwenyenzi Mungu ili HAKI iweze kutendeka.
Tutaendelea kudai haki na usawa katika jamii yetu hata kwa gharama ya maisha yetu.Denis na Ismail pamoja na wengine wengi tutawakumbuka daima,damu yenu hakimwagika bure,
Mh. Lema akiwa na watoto yatima kati ya vituo alivyotembelea leo katika siku ya kuwakumbuka Denis na Ismil.
Huyu mtoto YATIMA ameshika nafasi ya tatu ktk Wilaya Arusha matokeo ya la saba..
CHADEMA Arusha leo itakuwa na Kumbukumbu ya miaka miwili (2) ya mauaji ya makusudi ya raia wasio kuwa na hatia yaliyotokea 5/1/2011.Kumbukumbu hii itaenda sambamba na chama kufanya shughuli za kijamii,ikiwepo kutembelea vituo vitano vya watoto yatima jijini Arusha,kutoa wafungwa waliofungwa kwa kukosa faini ya ela ndogo,kisha kuhitimishwa kwa mkutano mkubwa wa hadhara.
Tunaomba wapenda haki wote kujitokeza kwa wingi siku ya Jumamosi 5/1/2013 katika ofisi za chama Ngarenaro,kwa ajili ya kwenda kutoa misaada hiyo kwenye vituo vya Yatima,pia tunatoa wito kwa kila mmoja wetu kujitolea chochote anachoweza Sukari/mchele/sabuni/mafuta etc kama ishara ya kutoa Sadaka,kwa Mwenyenzi Mungu ili HAKI iweze kutendeka.
Tutaendelea kudai haki na usawa katika jamii yetu hata kwa gharama ya maisha yetu.Denis na Ismail pamoja na wengine wengi tutawakumbuka daima,damu yenu hakimwagika bure,
Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa
Mtu aliyejitambulisha kuwa askari wa Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ),kambi ya Monduli,Arusha kwenye mkutano wa Chadema Mji mdogo Mererani,Simanjiro mkoani Manyara hivi karibuni akiwa ndani ya gari ya jeshi baada ya kutiwa nguvuni,
Mtu aliyejitambulisha kuwa askari wa Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ),kambi ya Monduli,Arusha akiwa na wabunge wa Chadema, Godbless Lema (Arusha Mjini) na Joshua Nassari (Arumeru Mashariki) baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara uliohutubiwa na wabunge hao katika Mji mdogo Mererani,Simanjiro mkoani Manyara hivi karibuni.
Picha juu alipopiga picha na Viongozi mbalimbali wa Chadema Mtu aliyejitambulisha kuwa askari wa Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ),kambi ya Monduli,Arusha akiwa na wabunge wa Chadema, Godbless Lema (Arusha Mjini) na Joshua Nassari (Arumeru Mashariki) baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara uliohutubiwa na wabunge hao katika Mji mdogo Mererani,Simanjiro mkoani Manyara hivi...
Leo Chadema Wawakumbuka waliopoteza Maisha katika vurugu zilizotokea 5/1/2011 Arusha.
Kwa wakazi wa Arusha na vitongoji vyake, Leo kutakuwa na mkutano mkubwa wa kuwakumbuka ndg zetu(Denis na Ismail) walio pigwa risasi na jeshi la polisi 5.1.2011, mkutano huu utafanyika kwenye uwanja wa Ngarenaro shule ya msingi kuanzia saa tisa, vile vile utarusha na kituo cha redio ya sunrise (94.80 FM) kwa wakazi wa Arusha na mikoa jirani.
Hizi ni baadhi ya picha wakati wa kuwaaga makamanda wetu waliopoteza maisha 5.01.2011. R.I.P (Denis na Ismail)
Hizi ni baadhi ya picha wakati wa kuwaaga makamanda wetu waliopoteza maisha 5.01.2011. R.I.P (Denis na Ismail)
Subscribe to:
Posts (Atom)
































.jpg)



