Friday, January 29, 2016

Idris na Wema watarajia mtoto mwezi July 2016


Akizungumza katika kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM Jumanne hii, Idris alisema mpenzi wake huyo anatarajia kupata mtoto baada ya miezi 6 au 7 hali ambayo imetafsiriwa na wadau wa mambo kuwa huenda mwanadada huyo akawa na mimba ya miezi 3 au 2.
“Yes very soon natarajia kupata mtoto kama miezi 6 au 7 ijayo,” alisema Idris. Pia Idris alisema bado hajatambua jinsia ya mtoto anayetarajia kujifungua mpenzi wake.
“No hatujui mwenzangu anataka surprise. Mimi nataka kujua kabla kwahiyo bado hatujafikia muafaka, naogopa nisije nikawa nanunua vigauni akaja Wa kiume bure,” alisema.

Aliongeza, “Huwezi kuwazuia watu kuongea, waache waongee maana sometimes watu ni wagumu kupokea changes lakini siku zinavyoenda naamini wataelewa tu.”

Wema na Idris Wafunguka kuhusu mapenzi yao

Idris na wema wafunguka kuhusu mahusiano yao na zuri zaidi madaam anategemea kupata mtoto soon .  tunakuombea mungu akupe afya njema wewe naa familia yako kiukweli timu wema mmuacheni wema aapate muda wakutulia na kupumzika ili kumpa mtoto uwezo wa kukua na afya safi sana idris mungu akupe ujasiri wa kukubaliana na hali halisi we proud to have u &madaam

Hi my people

Natumaini nyote mtakuwa powa mnaendelea vema na majukumu ya kulipeleka gurudumu hili la taifa kufikia malengo ya nchi yetu.Tumemaliza siasa na majukumu ya shule sasa ni kusaka shekeli mpo ooo hapoa jini hakulimwi jamani

Tanzania Asilialive imerudi hewani tukiwa  mji wa joto soon tutakufikia ulipo tukiwa na vitu vizuri vitakavyo kidhi mahitaji yako na familia kwa ujumla

Tuesday, June 30, 2015

Mafanikio hayajilete yenyewe Wake up

Asante mungu wangu kwa kunipigania

Foreverliving product zinapatika call me now

Jamani wadau wangu yoyote wenye kuhitaji kujua kuhusu forever living pls Nipigie ni 0756520688.Wanawake amkeniiii

vita ni vita cha muhimu ni kushinda


WEMA YES GOOOOO

Wema ameamua na anaweza tutakusapoti tunakupenda singida juuu mtoto wenu huyu jamani anahitaji kuleta mabadiliko singida wanawake na wasichana wa singida pls ni wakati wenu huuu kuonyesha umoja na upende amesema hivi mtamtuma na mttumia kuwakilisha vema wananchi wake.

Tuesday, March 3, 2015

Ni kweli Hii

Jamani nimesikia kuna mtoto amezaliwa anaongea mjini morogoro na kusema kwamba kuna mvua itanyeesha kwa muda wa siku mbili hivyo watu wasitumie hayo maji baada ya hapo akafariki jamani kuna ukweli wowote juu ya hili tujuzane

Wednesday, February 18, 2015

hi nawatakia jumutano njema ya majivu

jamani nawatakia kwaresma njema na tumuombe mungu atusamehe makosa yetu leo tusisahau kwenda kanisani.

Monday, February 2, 2015

Bondia Francis Cheka amehukumiwa kwenda jela.

Bondia Francis Cheka leo February 2 2015 amehukumiwa kwenda jela miaka mitatu na faini ya Milioni moja laki sita kwa kosa la kumpiga mmoja kati ya wafanyakazi wake kwenye bar yake iliyopo Morogoro.

Muda mfupi uliopita Francis Cheka ameongea  na kusema ndio alikua anajiandaa kuachia simu yake na vitu vingine muhimu ili achukue karandinga kuelekea gerezani ambapo namnukuu akisema ‘imeshakua hivi tayari ila hamna noma, niko na wanangu wengine wamepigwa miaka 10 nitakua nao fresh tu ila hamna noma ni miaka mitatu tu mimi’

Hukumu imetolewa na Hakimu Mkazi Said Msuya ambapo baada ya hayo upande wa Francis Cheka unasemekana kujiandaa kukata rufaa.

millardayo.com

Habari njema kuhusiana na majaribio chanjo ya Ebola…


Stori kuhusu ishu ya Ebola huenda ni moja ya story zilizochukua headlines kubwa kwa mwaka wote 2014, tangu iliporipotiwa kuibuka kwa maambukizi ya ugonjwa huo Afrika Magharibi mwanzo wa mwaka 2014.

Hii inaweza kuwa habari njema kwa Waafrika na dunia nzima kwa ujumla, taarifa iliyopo ni kwamba jaribio la kwanza la chanjo ya ugonjwa wa Ebola kutarajiwa kuanza kutumika Liberia wakati wowote kuanzia sasa.

Wataalamu wanatarajia zaidi ya watu 30,000 watajitokeza katika zoezi la majaribio hayo wakiwemo wahudumu wa afya.

Katika kipindi cha mwaka mmoja zaidi ya watu elfu tisini wamefariki kutokana na ugonjwa huo ambao uliandama zaidi Mataifa ya Guinea, Sierra Leone na Liberia.

Toto langu kazini chezea precious wewee