Tuesday, March 3, 2015

Ni kweli Hii

Jamani nimesikia kuna mtoto amezaliwa anaongea mjini morogoro na kusema kwamba kuna mvua itanyeesha kwa muda wa siku mbili hivyo watu wasitumie hayo maji baada ya hapo akafariki jamani kuna ukweli wowote juu ya hili tujuzane