Monday, June 11, 2012

R .I .P BOB MAKANI

Viongozi mbalimbali na wananchi wakiwa Karamjee Kuaga mwili wa mwaasisi wa CHADEMA BOB MAKANI.kwa picha zaidi tembelea www.mjengwablog.com

CCM ILIVYOFUNIKA JANGWANI Saturday, June 9, 2012

 Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe akihutubia
Vijana wakishangilia kwenye mkutano wa CCM uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam.
  Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli akihutubia
Vijana wakichangamka kurudisha kadi za Chadema mbele ya Nape na Kinana ambazo chama cha chadema kilidai kuwa zilikuwa za fake wakihoji iweje zote ni mpya na zingine hazina hata majina.
Mamia ya kadi za vyama vya upinzani zilizorudishwa
 
Nape akichaza gita na bendi ya Vijana Jazz, Baadhi ya mabango

Wanafunzi UDOM wajitolea damu


Afisa habari wa Taasisi ya wanafunzi wanaosoma shahada ya kwanza ya sosoholojia aliyemaliza rasmi muda wake leo ambaye pia ni Mmiliki wa Mtandao wa LUKAZA BLOG Mh Josephat Lukaza akiwa tayari ameshamaliza zoezi la uchangiaji wa Damu kwa Hiari ambalo liliandaliwa na taasisi ya wanafunzi wanaosoma shahada ya kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOMSSO) zoezi lililofanyika leo Chuo Hapo.Baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dodoma wakiwa Wanasubiri Kwenda Kutoa damu kwa hiari

TOVUTI YA NGOMA AFRICA YARUDI HEWANI

Web ya  Ngoma Africa band aka FFU hewani tena baada ya matengenezo ya masaa machacheTovuti ya bendi maarufu ya dansi barani ulaya Ngoma Africa band hipo hewani tena baada yakufanyiwa marekebisho fulani ya kiufundi kwa masaa machache jana Juni 10 , 2012 , Kambi hiyo ya FFU at www.ngoma-africa.com inaendelea kumwaga burudani kamiliya muziki kama kawaida masaa 24 kwa siku 7 za wiki. wadau wote mnaombwa kuendelea kupata raha ya muziki bila kwikwi  bofya at www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com

AJALI JAMANI

Habari za Leo wadau wote. Jamani leo ningependa kuwaonya baadhi ya madereva ambao hawako makini na kazi zao siku ya jana jumapili ya tarehe 10 /6/2012 nimeshuhudia ajali nne moja kati ya hizo ndugu zetu, walipoteza maisha inasikitisha sana jamani.Embu tuwa makini sana tunapokuwa barabarani ili kupunguza vifo jamani tunazalisha yatima jamani. TARAKARI CHUKUA HATUA.