Thursday, January 24, 2013

YANGA YADHIHIRISHA UBABE WAKE KWA BLACK LEOPARDS, YAIFUMUA 2-1 CCM KIRUMBA JIJINI MWANZA

 Wachezaji wa timu Yanga wakifurahia goli la pili lililofungwa na Jerry Tegete kipindi cha pili mnamo dakika ya 54 kwa njia ya penati.
                                   Umati wa watu waliokuwa wakishuhudia mchezo huo

RAIS WA ZANZIBAR DK. MOHAMED SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ALFONSO LENHARDT IKULU MJINI ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Alfonso Lenhardt, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe wake.
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Alfonso Lenhardt, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe wake.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Alfonso Lenhardt, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe wake.
(Picha na Ramadhan Othman, Ikulu-Zanzibar)

RAIS KIKWETE ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA FIFA MJINI ZURICH SWITZERLAND

 Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, akiwa katika picha ya Pamoja na Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Joseph Sepp Blatter na Rais wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) Leodgar Chilla Tenga (kulia) wakati Rais Kikwete na ujumbe wake walipotembelea Makao Makuu ya FIFA mjini Zurich, Switzerland jana Januari 23, 2013 kwa Mwaliko maalum wa FIFA.
 Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, na Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Joseph Sepp Blatter wakiwa katika mazungumzo wakati Rais Kikwete na Ujumbe wake walipotembelea Makao Makuu ya FIFA mjini Zurich, Switzerland Januari 23, 2013 kwa Mwaliko maalum wa FIFA.
  Rais wa FIFA Joseph Sepp Blatter akimkabidhi Rais Jakaya Kikwete bendera maalum ya FIFA.
Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, akimweleza jambo Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Joseph Sepp Blatter (kulia) kuhusiana na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Leodgar Chilla Tenga. Tenga pia ni Mwenyeketi wa  Baraza la Vyama vya Soka vya Afrika Mashariki (CECAFA).

Magazeti ya Leo Alhamisi ya 24th JAnuary 2013