Saturday, August 18, 2012

SALAMU ZA EID MUBARAK KUTOKA TANZANIA ASILIALIVE BLOGSPOT.COM


Wadau wa Blog ya Tanzania Asilialive familia pamoja na familia yangu nawatakia Waislam wote Duniani Furaha ya Sikukuu ya EID - MUBARAKA .

TAQABALLAH ALLAHU MINNA WAAMINKUM SWAALIHAL A3MAAL = AMIIN M/MUNGU AZIPOKEE IBADA ZETU NA FUNGA ZETU NA ATUDUMISHE MILELE KATIKA MAMBO YALIYO MAZURI DAIMA

MWANAMKE TAJIRI NA MREMBO KULIKO WOTE UGANDA!!


JARIDA maarufu la Times nchini Uganda limemtaja mama wa watoto wawili Zari Hassan kuwa ndiye mwanamke mrembo na tajiri kuliko wote nchini humo kwa wakati huu.
Kwa mujibu wa jarida hilo Zari (30) ambaye ni Mwanamuziki,Mfanyabiashara na Mtangazaji wa runinga amepata mafanikio makubwa kwenye muziki na pia kipindi chake cha runinga kinachofananishwa na kipindi cha ‘Keeping up with the Kardashians’ kinachoendeshwa na mrimbwende wa kimarekani Kim Kardashian.
Huku likiambatanisha picha za magari na nyumba anazomiliki mwanadada huyo, jarida hilo limeandika kuwa huenda akaingia kwenye orodha ya wanawake matajiri zaidi Afrika baada ya kipindi kifupi kijacho endapo ataendelea na mwenendo wake wa sasa kibiashara.
hata hivyo jarida hilo pia limetaja zari kuwa mmoja wa mstaa wapenda starehe na amekuwa akitumia mkwanja alionao kumnasa mwanaume wa aina yoyote anahisi kuwa anahitaji kumliza kwa wakati huo ingwa tuhuma hizo hazikusibitishwa moja kwa moja.

katika hatua nyingine jarida hilo limesema kuwa Zari mwenye maskani yake pia nchini Afrika ya Kusini, wazazi wake si raia wa uganda kuzaliwa ispokuwa ni wahamiji kwani baba yake ni raia wa Buurundi mwenye asili ya Somalia na mama yake ni raia wa India kutoka kabila la Mutoroo.

Aidha Times limeandika kuwa Zari anamiliki ndinga kibao za kisasa na zenye thamani kubwa kama BMW – 2006, Black Chrysler – 2008, – Audi Q7 2010 Silver Crysler – 2008, JETTA-2006, Mercedes Benz convertible -2008. Range-Rover, Lamborghin, Hummer na mengine mengi huku pia akiwanaumiliki wa maduka, hotel na majumba ya kisasa kwenye miji mikubwa ya Pretoria, Cape Town na Kampala.

Afisa Mwandamizi Baraza La Habari (MCT) Alfred Mbogora Afariki Dunia

Ofisa Mwandamizi  wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Alfred Mbogora,amefariki mapema  tarehe 18/8/2012 katika hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa baada ya kuugua ghafla.

 Taarifa zinasema siku ya jumatano aliuguwa ghafla akiwa safarini kuelekea Bagamoyo kikazi.Ambapo njiani alisema hajisikii vizuri na kupoteza nguvu.

Marehemu Alfred Mbogora aliwahi pia kufanya kazi katika taasisi ya Utafiti na Demokrasia(REDET),amewahi kuwa mwandishi wa habari wa SHIHATA,The Guardian  na  The African.

MUNGU AILAZE  ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI-AMIN

Pata Ratiba za England Premier Leaque

Magazeti ya Leo Jumamosi 18th August 2012

President Kikwete Attends The 32nd Ordinary Summit Of Heads Of State And Government Of SADC In Maputo

 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete in conversation with the South African President Jacob Zuma  during the 32nd Ordinary Summit of Heads of State and Government of the Southern African Development Community(SADC) in Maputo
 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete together with Namibian President Hifikepunye Pohamba in intimate conversation during the opening ceremony of the 32nd Ordinary Summit of Heads of State and Government  of SADC in Maputo today.
Presiddent Dr.Jakaya Mrisho Kikwete left front row in a group photo with other SADC Heads of State and Government during the opening session of the 32rd Ordinary Summit of Heads of State and Government of SADC in Maputo   
             
Photos by Freddy Maro