Friday, June 8, 2012

KITABU CHA FURAHA HUJA ASUBUHI' (JOY COMES IN THE MORNING) KIMEZINDULIWA JIJINI DAR


Mkurugenzi Mtendaji wa MKUKI NA NYOTA PUBLISHERS Bw. Walter Bugoya akitoa neno wakati wa uzinduzi wa kitabu cha 'FURAHA HUJA ASUBUHI' (JOY COMES IN THE MORNING) kilichoandikwa na Hopolang Phororo kinachozungumzia Mateso na manyanyaso ya wasichana wadogo wakati wa malezi yao na haki ya msingi ya jinsia ya kike katika jamii.

Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria uzinduzi wa kitabu cha 'JOY COMES IN THE MORNING' uliofanyika jana jijini Dar es Salaam.

USIKOSE NAKALA YAKO.


UMUHIMU WA ELIMU KATIKA TAIFA LETU

Mh.Lowasa alivyofanikisha uchangiaji wa elimu kata ya kipawa jijini dar, Jamii tuwe mfano wa kuigwa katika kuchangia maendeleo ya taifa letu.

Welcome to KARIBU FAIR 2012

http://www.karibufair.com/