Tuesday, May 6, 2014

jamani bomu tena kanisani jijini mwanza

Bibi Benadta alifred ajeruhiwa vibaya baada ya kufungua kitu asichokijua baada ya kukaa kwa muda sehemu ya kupumzikia eneo la kanisa hilo jijini mwanza. habari kamili na picha tunakuletea hivi punde..