Thursday, June 7, 2012

Asante marafiki wote waliokuwa nami katika kipindi kigumu kilichopita, Naamini yote ni mipango ya mungu mwanadamu kupitia majaribu katika dunia hii. Kila mwanadamu ana mapito yake hivyo basi yatupasa tusikate tamaa bali tumtegemee mungu pekee yake kwani yeye ndie kila kitu. USIKATEE TAMAA WAKATI BADO ASUBUHI.

No comments: