Wednesday, April 10, 2013

HIVI NDIVYO UHURU KENYATA ALIVYOAPISHWA NCHINI KENYA

                                            Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, akiapishwa.
                                        Rais Uhuru Kenyatta na 'First lady', Margaret Kenyatta.


                   Uhuru Kenyatta (kulia) akisalimiana na rais aliyemaliza muda wake, Mwai Kibaki.
                                                                Kibaki akiwasili.

                              Rais Mwai Kibaki anayeondoka madarakani akikagua gwaride la heshima.
  Rais mpya wa awamu ya nne nchini Kenya, Mhe. Uhuru Kenyatta, akisoma hotuba yake mbele ya maelfu ya watu waliofika kushuhudia kuapishwa kwake.

 
                           William Ruto makamu wa Rais wa Kenya akisaini.
 Jaji Mkuu wa Kenya, Willie Mutunga, amtambulisha rais mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta.
 Rais Uhuru Kenyatta akikabidhiwa upanga na nakala ya katiba ya Kenya kutioka kwa rais mstaafu, Mwai Kibaki ikiwa ni ishara kuwa amekuwa amiri jeshi mkuu wa Kenya.

PICHA ZOTE KWA HISANI YA BUKOBA WADAU BLOG

No comments: