Thursday, October 9, 2014

Hi wapenzi wa Tanzania asilialive.blogspot .com

Habari za siku nyingi wapenzi wa tanzania asilialive kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wetu tunaomba radhi kutokuwepo hewani kwa muda mrefu.kwa sasa tunajaribu kurekebisha na punde tutakuwa hewani kuendeleza libeneke hili.

Asanteni sana by  faulisa

No comments: