Tuesday, June 26, 2012

HII NDIO KAULI YA RAFAEL VAN DER VAART MPAKA SASA.

Rafael van der Vaart amesisitiza kwamba hakuna mawasiliano yoyote yanayofanyika kati yake na club ya Hamburg japo bado kuna fununu kwamba club hiyo ina mpango wa kumpa mkataba mpya.

The Dutch midfielder bado ananyenyekewa na mashabiki kutokana na kazi nzuri aliyoifanya kwa miaka mitatu ambapo kwa mujibu wa skysports, Hamburg-based billionaire Klaus-Michael Kuehne yuko tayari kuisaidia club kumpa gamba jipya Tottenham playmaker Van der Vaart.

No comments: