Tuesday, June 26, 2012

KAMA WEWE NI FAN WA ARSENAL HII INAKUHUSU.


Club ya Arsenal imethibitisha kwamba imemdaka na kumpa mkataba striker wa Ufaransa Olivier Giroud.

Giroud mwenye miaka 25 toka aingie kwenye hii dunia amejiunga kutokea Montpellier kwa mkataba mrefu na Arsenal.

Jamaa ameifungia Montpellier magoli 33 kwa miaka miwili aliyoitumikia, kwa timu yake ya taifa ameifungia goli moja toka aanze kuichezea 2011.

No comments: