Saturday, June 30, 2012

WAZIRI FENELLA MUKANGARA APATA AJALI YA GARI

                     Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara.

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara amepata ajali ya gari wakati akielekea jijini Mwanza Jana. Waziri Mukangara amepata ajali hiyo mkoani Tabora wakati akielekea jijini Mwanza kwenye Ufunguzi wa Mashindano ya Taifa ya Mchezo wa Vishale (Darts). Gari la Mukangara limegongana na basi la Green Star na waziri huyo amelazwa kwa matibabu.

No comments: