Friday, August 31, 2012

Dkt Bilal Ahutubia Mkutano Wa Nchi Zisizofungamana Na Upande Wowote Iran

Makamu wa Rais Dk.Mohammed Gharib Bilal akihutubia Mkutano wa Kumi na Sita wa Wakuu wa Nchi za Siasa ya Kutofungamana na Siasa ya Upande wowote  unaomalizika leo  mjini Teheran, Iran. Katika hotuba yake, pamoja na mambo mengine alisisitiza msimamo wa Tanzania kuendelea kupigania haki, kutetea wanyonge, kupinga ubeberu na ukandamizaji  kote duniani, pia aliiasa Jumuiya ya Kimataifa  kutatua migogoro yote kwa njia ya amani.

 Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais

No comments: