Thursday, September 27, 2012

fujo zatokea mjini arusha wafanya biashara ndogondogo na mapolisi

Mji wa arusha umechafuka ghafla baada ya wafanyabiashara ndogo ndogo mjini hapa kuvamia eneo lililouzwa na aliyekuwa meya miaka ya nyuma. Eneo hilo liko karibu na soko la kilombero. Hali hiyo imekuja baada wa manispaa ya arusha kukamata bidhaa za wafanyabiashara hao ambapo eneo walilokuwa wamepangiwa kuwa dogo kuliko wafanyabiashara hao. angalia picha yaliyojiri
           Wafanyabiashara wakiondoa mabati yaliyokuwa yamezungushiwa eneo hili lililokuwa limeuzwa


                                             Magari ya FFU yakiwa yamepaki pembeni
                                             Askari wakiwa pembeni wakiangalia
                                       Hii ndio hali Halisi ilivyokuwa leo mjini arusha

No comments: