Monday, June 11, 2012

AJALI JAMANI

Habari za Leo wadau wote. Jamani leo ningependa kuwaonya baadhi ya madereva ambao hawako makini na kazi zao siku ya jana jumapili ya tarehe 10 /6/2012 nimeshuhudia ajali nne moja kati ya hizo ndugu zetu, walipoteza maisha inasikitisha sana jamani.Embu tuwa makini sana tunapokuwa barabarani ili kupunguza vifo jamani tunazalisha yatima jamani. TARAKARI CHUKUA HATUA.

No comments: