Wednesday, May 1, 2013

BAADA YA MIEZI 9 YA BILA KUONEKANA HADHARANI, HII NDIO PICHA MPYA ALIYOPIGWA MZEE MANDELA HIVI KARIBUNI

Baada ya kipindi kirefu cha Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela kutoonekana hadharani hatimae picha yake ya kwanza baada ya miezi tisa imeonekana.

Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini aliongozana na watu wengine kwenda kumtembelea Mzee Mandela ambapo baada ya kumuona, Zuma amesema afya ya Mzee iko vizuri sasa hivi japokua amekonda kidogo.

No comments: