Thursday, June 21, 2012

Taswira Za Mheshimiwa Godbless Lema Akiung'uruma Kwenye Mkutano Wa Hadhara Wa CHADEMA Manzese Jijini Dar es Salaam

Aliyekua Mbunge wa Arusha Mjini(CHADEMA)Mheshimiwa Godbles Lema Akiunguruma kwenye mkutano wa hadhara Manzese jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Umoja wa Baraza la Vijana wa CHADEMA John Henche(kushoto)akifwatilia kwa makini mkutano wa Chadema.
Sehemu ya Umati Mkubwa wa Wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa chadema

No comments: