Friday, July 13, 2012

HAWA NDIO WATOTO WENGINE WA P DIDDY.

                                               Jessie, D’Lila na Chance.
According to blog ya Necole ni kwamba jana ilikua siku ambayo Rapper/Producer wa longtime P DIDDY alipata time ya kuspend na watoto wake mapacha wa miaka mitano baada ya mama yao ambae ni longtime girlfriend wake (Kim Porter) kukubali manake alikua hataki kabisa mapacha wake wakutane hasa na dada yao mwingine aitwae Chance ambae alizaliwa miezi mitano kabla ya mapacha hao lakini kwa mama mwingine ambae ni Sarah Chapman.

P Diddy ni miongoni mwa mastaa wenye watoto wengi lakini ndoa bado haijafungwa, Diddy tayari mpaka sasa ameshapata watoto na wanawake zaidi ya watatu huku November 4 mwaka huu akifikisha umri wa miaka 43.
Pamoja na kwamba ana watoto wengi na kila mmoja ana mama yake, Diddy amevunja rekodi ya kuwa baba anaetimiza mahitaji yote… hataki lawama au mtoto wake kupata tabu anawajibika kila anapohitajika, hii ilikua ni siku nyingine wakati wa birthday ya Chance.

                          PichaYa chini Mama (Sarah Chapman) mtoto na baba.

Huyu wa katikati tena ni mtoto wake mkubwa sasa anaitwa Justine

Thanks Millard Ayo Blog.

No comments: