Saturday, August 25, 2012

Beki Azpilicueta Atua Kikosi cha Chelsea

                                       Cesar Azpilicueta baada ya kukabidhiwa jezi ya Chelsea.
                   Cesar Azpilicueta akiwa mazoezini na wachezaji wenzake wa timu yake mpya.

Cesar Azpilicueta ameanza mazoezi na Chelsea jana asubuhi baada ya kukamilisha uhamisho wake kutoka Marseille. Beki huyo wa kulia wa kimataifa wa Hispania, mwenye umri wa miaka 22, anatua Stamford Bridge kwa dau la pauni Milioni 7, akisaini mkataba wa miaka mitano na mabingwa hao wa Ulaya.

Chanzo: http://www.dailymail.co.uk/sport/football

No comments: