Tuesday, August 21, 2012

DK.Dalali Kafumu Avuliwa Ubunge Igunga!.

Kwa habari zilizotufikia hivi punde  kutoka mahakamani kuwa mbunge wa Igunga kwa ruhusa ya CCM  Dk. Peter Dalali Kafumu  Amevuliwa Ubunge na Mahakama, Habari zaidi zitakujia hivi punde usikae mbali na blog hii

No comments: