Tuesday, September 11, 2012

Maandamano ya Wanahabari Leo Hii Jijini Dar




Waandishi wa habari leo wameandamana kwa ajili ya kifo cha Mwangozi. kufuatia maandamano hayo Waziri wa Mambo ya ndani EmanuelNchombi alifika Jangwani kuongea na waandishi wa habari lakini alisomewa sana ikabidi aondoke uwanjani hapo.

No comments: