Monday, September 3, 2012

REAL MADRID! imemchukua mkali wa soka kutoka Chelsea



                             Essien akiwa na kocha wa Real Madrid Jose Mourinho.
Club ya Real Madrid ya Hispania  imemchukua mkali wa soka kutoka Chelseakwa mkopo wa msimu mmoja Michael Essien ambae ni mzaliwa wa Ghana .

Essien ana miaka 29 tu toka aanze kupumua lakini ana miaka 12 tu toka aanze soka.. alianza kwa kuichezea Bastia kuanzia 2000 – 2003 na kuifungia magoli 11, 2003-2005 akaingia Lyon aliyoifungia magoli 8, 2005akaingia Chelsea aliyoifungia magoli 17 mpaka 2012 ambapo sasa amekwenda Real Madrid kwa mkopo.

No comments: