Wednesday, November 14, 2012

Dar Express yanusurika kuanguka..



Basi la Dar Express lililokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda mkoani Arusha lilinusurika kuanguka baada ya kuacha njia na kugonga ukingo wa barabara ya Chalinze, Segera kama linavyoonekana katika picha

                    Source: http://www.wavuti.com/

No comments: