Friday, November 9, 2012

Dk Mwinyi Atembelea Vituo Vya Uchunguzi Na Matibabu Vinavyojengwa Mkoani Dodoma

 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Hussein Mwinyi akiwasili katika eneo la Ujenzi wa kituo cha kisasa cha Matibabu mkoani Dodoma.
 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Hussein Mwinyi (kulia) akizungumza kabla ya kukagua ujenzi wa Kituo cha Kisasa cha uchunguzi na Matibabu katika Chuo Kikuu cha Dodoma kinachonjengwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Hussein Mwinyi (kushoto) akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Dk. Emmanuel Humba baada ya kukagua ujenzi wa Kituo cha Mfano cha Uchunguzi na Matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma kinachojengwa na Mfuko huo.

No comments: