Wednesday, November 28, 2012

Hii ndilo gari la sharo milionea lililvyoharibika katika Ajali iliyosababisha kifo chake.



                          Wakazi wa Tanga wakiangalia gari alilopata nalo ajali sharo Milionea

 Mbuge wa jimbo la Muheza Hebert Mtangi akiwasili nje ya jengo la chumba cha Kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Muheza kwa ajili ya kushuhudia Mwili wa Msanii Sharo Milionea aliyekufa kwa ajali akitokea Dar es Salaam kwenda lusanga Muheza mkoani tanga. Ajali hiyo imetokea Katika kijiji cha Songa Kibaoni.
Wakazi wa Wilaya ya Muheza na maeneo mengine wakiwa wamefurika nje ya chumba cha Maiti cha Hospitali Teule Muheza wakisubirikushuhudia Mwili wa sharo Milionea Aliyefariki kwa ajali ya gari

No comments: