Saturday, December 8, 2012

SADC Watua Dar Kwa Dharura

 Rais Yoweri Museveni wa Uganda (kulia) akisalimiana na  Makamu wa Rais wa Tanzania Dr. Gharib Bilal  (kushoto)  Dec,7,2012 alipowasili katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa JK ,Nyerere jijini Dar es Salaam kuhudhuria mkutano wa dharura  wa Jumuiya  ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)

  Rais wa Mozambique Armando Guebuza (kush) akiwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataia Membe
 Rais wa Jamhuri yaKidemokrasia ya Congo( DRC) Joseph Kabila (kushoto) akipokelewa na Waziri wa Uvuvi Dkt. David Mathayo Dec,7,2012 katika uwanja wa ndege  wa kimataifa wa Jk . Nyerere jijini Dar es salaam
 Makamu wa Rais wa  Zambia Dkt.Guy Scott (kulia) akifurahia jambo na Waziri wa Uchukuzi Dkt, Harison Mwakyembe (dec,7,2012) wakati wa mapokezi katika uwanja wa ndege wa  kimataifa wa JK Nyerere jijini DSM kwaajili ya kuhudhuria mkutano wa dharura wa SADC
Kikundi cha sanaa ya matarumbeta kinachoongozwa na gwiji wake Mzee Hoza,kikitoa burudani katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa JK, Nyerere Dec,7,2012 wakati wa mapogezi ya Marais na wajumbe mbalimbali wanaohudhuria mkutano wa SADC jijini Dsm.

(Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).

No comments: