Thursday, December 6, 2012

Yatima Wa Kituo cha Amani 'Wanapofuzu'!!

 Bi Erica Mwakalebela, Meneja wa Kituo cha Amani kinacholea watoto yatima wilayani Kilolo, akitoa nasaha zake leo mchana wakati akiwaaga baadhi ya vijana waliolelewa kituoni hapo, kusomeshwa na kuwakabidhi vifaa mbalimbali kulingana na taaluma zao.
 'Bonge la Mtu' Maregesi Gerson, ambaye leo hii amepewa 'ujiko' wa kuwa mgeni rasmi na kukabidhi zawadi mbalimbali kwa yatima wa Kituo cha Amani, wilayani Kilolo. Hapa alikuwa akitoa nasaha zake.
                   Zawadi mbalimbali ambazo vijana hao walikabidhiwa jana ili kwenda kuanzia ujasiriamali.
Walikwenda wadogo, sasa wamekuwa vijana. Kutoka Kushoto ni Claudia Mbugi (17), Waziri Kivamba (19) na Yusta Msangi (16) wakiwa na bahasha zao zenye vitita vya Shs 100,000 kila mmoja ili ziwasaidie wakaanze maisha.

Tiririka na habari kamili...www.kwanzajamii.com/?p=4574

No comments: