Thursday, December 6, 2012

Wananchi Watembelea Banda La Tume Ya Katiba

Mkazi wa Jijini la Dar es Salaam, Bw. Joseph Msindai akizungumza na Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. Amour Kagya (kulia) katika banda la Tume hiyo leo (alhamisi Disemba 6, 2012) wakati wa maadhimisho ya siku ya Haki za Binadamu Duniani yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam.
 (PICHA NA TUME YA KATIBA)

No comments: