Monday, January 7, 2013

RAIS JAKAYA KIKWETE AANZA ZIARA YA SIKU NNE KATIKA MKOA WA TABORA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipkea ripoti ya mkoa wa Tabora toka kwa Mkuu wa Mkoa Mhe Fatma Mwassa huo aliyosomewa mara baada ya kuwasili mkoani humo jana kuanza ziara ya kikazi ya siku nne.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Mkuu wa mkoa wa Tabora  Mhe Fatma Mwassa wakati alipokuwa akisoma ripoti hiyo mbele ya Rais mara baada ya kuwasili kuanza ziara ya kikazi ya siku nne.

(PICHA NA IKULU)

No comments: