Monday, February 25, 2013

PICHA ZA MSIBA WA GOLDIE, MUME WAKE NA WENGINE WALIOHUDHURIA..

 
                                               Mwili wa Goldie Ukiwa umebebwa kwenye jeneza

                                                                 Andrew Harvey  Mume wa Goldie


 





                                        Andrew Harvey  Mume wake akimuangalia Goldie kwa mara ya mwisho


                                                                Dada wa Goldie na rafiki zake

 Wa pili kutoka kushoto ni mtangazaji wa Channel O Denrele Edun ambae alikua rafiki mkubwa wa Goldie na ndio Goldie alifia mikononi mwake akiwa amembeba, huu msiba ulihudhuriwa na watu wachache walioalikwa tu huko Ikoyi Lagos Nigeria.



No comments: