Friday, March 15, 2013

CHADEMA WALITAKA JESHI LA POLISI LIMCHUNGUZE LWAKATARE BILA UPENDELEO

Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimesema kilikuwa na taarifa za mapema juu ya uwepo wa mkakati unaoratibiwa na kufanikishwa na maafisa wa ngazi za juu wa usalama wa taifa wa kukihusisha chama hicho na njama za kumdhuru mwenyekiti wa jukwa la wahariri Absalom Kibanda ili kukidhofisha chama hicho kisiasa.

No comments: