Thursday, March 14, 2013

POLISI WAMEMKAMATA KIONGOZI WA CHADEMA, LWAKATARE NA KUMPELEKA MAKAO MAKUU KWA MAHOJIANO

Wilfred Lwakatare ameitwa Makao Makuu ya Polisi sasa hivi kwa mahojiano na jeshi hilo kufuatia video clip iliyowekwa mitandaoni ikionesha  jinsi  alivyokuwa  akipanga  mbinu  za  utekaji....

WILLIFRED LWAKATARE  NI MKURUGENZI WA ULINZI NA USALAMA WA CHADEMA...

Kwa taarifa ni kuwa atawakilishwa na wakili Nyaronyo Kicheere na baadaye kama watafungua kesi watakuwa na Mabere Marando.
Je, hii sio double standard ndani ya taifa?
Mbona Mwigulu hajakamatwa baada ya kusema ana mkanda wa njama za kufanya mauaji?

MAELEZO YOTE NI KWA HISANI YA JAMII FORUM

No comments: