Tuesday, April 30, 2013

"SIWAOGOPI MATAIRA WANAONIPONDA....MUNGU PEKEE ANAWEZA NA SI HAO TUMBIRI".....HII NI KAULI YA DIAMOND

Watu kadhaa  wamekuwa  wakimponda Diamond  baada ya  kwenda  LONDONI kwa  madai kuwa ni mshamba  wa  jiji  na  limbukeni ....

Madai hayo yamekuja  baada ya msanii huyu kuanza kuyashobokea  magari ya kifahari kwa kupiga nayo  picha na kuzirusha hewani.....

Baada ya kuona  mizengwe  ya watu imekuwa  mingi, Diamond  ameamua kuwajibu  kwa kupost  jumbe  huu


No comments: