Wednesday, April 10, 2013

Thatcher afariki dunia

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Margaret Thatcher (87), amefariki dunia  jijini London.

Thatcher, ambaye ni mwanamke pekee kushika nafasi hiyo Uingereza, alifariki dunia katika Hoteli ya Ritz alipokuwa akiugulia. Habari zilizopatikana zimeeleza kuwa Thatcher alifariki dunia kutokana na kuugua ghafla ugonjwa wa kiharusi.CHANZO MWANANCHI

No comments: