Monday, May 6, 2013

DKt. BILAL AWAFARIJI MAJERUHI WA BOMU, ARUSHA

                 Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal akiwafariji majeruhi wa mlipuko huo.
 Makamu wa Rais Dkt. Bilal akiwafariji majeruhiwa milipuko ya bomu jijini Arusha, kulia ni Askofu mkuu wa Kanisa la KKKT Tanzania, Dkt. Alex Malasusa na kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assah Mwambene
 Makamu wa Rais Dkt. Bilal akimsikiliza Askofu mkuu wa Kanisa la KKKT Tanzania Askofu Dkt. Alex Malasusa
                                                        Majeruhi wa mlipuko huo wakihangaika
Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal Pamoja na Mh.Stephen Masele pichani chini na chini wakiwapa pole majeruhi wa mlipuko wa bomu uliotokea majira ya saa 4;35 asubuhi kwenye uzinduzi wa kanisa la St.Joseph Mfanyakazi maeneo ya Olasiti jijini Arusha

No comments: