Friday, May 10, 2013

R.I.P ALL

Hali tulivu,baridi kiasi, majonzi yakiwa yametawala kila kona jijini arusha Tukiwasindikiza wapendwe wetu waliotangulia mbele ya haki siku ya jumapili 5/5/2013 katika mlipuko wa bomu kanisa la mtakatifu joseph olasiti.Hii ni chachu kwa wakristo wote Tanzania na dunia, sali kila sekunde uliyonayo kuombea AMANI nchi yetu.Mungu uwaangazie mwanga wa milele wapumzike kwa Amani Amina.

No comments: