Friday, June 14, 2013

MSANII LANGA AFARIKI DUNIA

                                               Langa Kileo (msanii wa Hip Hop Tanzania, pichani)
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba msanii Langa amefariki dunia..
Habari zinadai  kuwa , Msanii huyu alikumbwa na Malaria kali sana hali iliyopelekea kukimbizwa Hospitali ya Muhimbili jana.

No comments: