Wednesday, October 22, 2014

Bilionea wa Madini Arusha auwawa leo So sad jamani

Jamani samahani kwa picha hii ila ndio hali halisi polisi jamani mtandao wa majambazi bado unaendelea kutishia usalama wa wananchi jijini arusha.Poleni wafiwa na wana Arusha secta ya madini. P.I.P Fadhili

No comments: