Friday, January 29, 2016

Hi my people

Natumaini nyote mtakuwa powa mnaendelea vema na majukumu ya kulipeleka gurudumu hili la taifa kufikia malengo ya nchi yetu.Tumemaliza siasa na majukumu ya shule sasa ni kusaka shekeli mpo ooo hapoa jini hakulimwi jamani

Tanzania Asilialive imerudi hewani tukiwa  mji wa joto soon tutakufikia ulipo tukiwa na vitu vizuri vitakavyo kidhi mahitaji yako na familia kwa ujumla

No comments: