Sunday, June 10, 2012

HONGERA TAIFA STARS

 Kikosi cha Taifa Stars kilichoanza mechi ya leo.
Taifa Stars imeilaza Gambia kwa bao 2-1 katika mechi ya kufuzu kucheza Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika nchini Brazil 2014. Mabao ya Stars yamewekwa kimiani na Shomari Kapombe na Erasto Nyoni. Kwa sasa Stars ina pointi 3 na inashika nafasi ya pili katika kundi C linaloongozwa na Ivory Coast wenye pointi 4.

No comments: