Monday, June 25, 2012

BAJETI YA OFISI YA WAZIRI MKUU

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisoma Hotuba ya Bajeti ya Ofisi yake , Bungeni Mjini, Dodoma Juni  25, 2012

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda  akisalimiana na  Mbunge wa Lindi Mjini , Salum Baluany kwnye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 25,2012. Kulia ni Mtoto wa Waziri Mkuu, George Bush.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala  za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia  (kulia) na Katibu Mkuu katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Peniel Lymo kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 25, 2012.

No comments: