Monday, June 25, 2012

Rais Jakaya Kikwete Alivyompokea Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Sahrawi, Mohamed Abdelaziz

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Sahrawi Mhe, Mohamed Abdelaziz katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jioni ya jana Jumapili Juni 24, 2012
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibadilishana Mawazo na  Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Sahrawi Mhe, Mohamed Abdelaziz muda mfupi baada ya kumpokea katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jioni ya jana Jumapili Juni 25, 2012 ambapo gwaride la Kijeshi na ngoma za utamaduni zilimlaki kwa nderemo.Picha na IKULU

No comments: