Tuesday, July 3, 2012

Afisa Mkuu Mtendaji Wa Barclays Ajiuzulu

Afisa mkuu mtendaji wa benki ya Barclays Bob Diamond hatimaye amejiuzulu.Mwenyekiti anayeondoka Marcus Agius, ambaye alitangaza kujiuzulu kwake hiyo jana, sasa atakuwa mwenyekiti wa kudumu wa benki hiyo na ataongoza mikakati ya kumtafuta afisa mkuu mtendaji mpya.Benki ya Barclays, imekumbwa na kashfa ya kuongeza viwango vya riba kinyume cha sheria.
Chanzo:BBC

No comments: